Recent content by Prof Haliyamtu

  1. P

    Hatudanganyiki, huyu mfanyabiashara alikuchangia mapesa Magufuli

    Wewe Ng'ombe wa UKAWA acha uzushi. Alichosema magufuli ni kwamba hakuchangisha na hakuchangiwa pesa. Air time sio pesa. Ni air time ambayo ni sehemu ya vipindi vya habari vinavyorushwa bila kulipia. CHADEMA walipata vipindi toka ITV. HII HAKUWA PESA. ni air time.
  2. P

    Rais Magufuli na PM Majaliwa Wameamua kuwa Wapinzani wa CCM na Kikwete

    Anachokifanya magufuli ni sera ya CCM aliyoinadi wakati wa kampani. Hata ktk ziara zake Kinana kabla ya uchaguzi na wakati wa kampeni alizungumzia haya. Hakuna sera ya CCM inayokumbatia ufisadi. Vinginevyo hujui maana ya sera. Wewe hayo unayosema umepata kutoka ukurasa gani wa ilani au sera ya...
  3. P

    Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO): Ufafanuzi wa taarifa kuwa hatununui nguzo nchini bali...

    Kwa nini nguzo zitoke nje wakati wakenya wanatumia nguzo zetu.
  4. P

    Rais Magufuli akutana na wafanyabiashara, atoa siku 7 kwa waliokwepa kodi kujisalimisha na kulipa

    Acha uzushi. Taja mfanya biashara aliyeichangia CCM. Na alichangia kiasi gani.
  5. P

    Jumamosi irejeshwe kuwa siku ya kazi ofisi za umma

    Sabato ni takatifu kwa Bwana.
  6. P

    Rais Dk. John Magufuli kuhamia Dodoma

    Tulia wewe. Hayo pia ni mabadiliko...... Kura hukumpigia afu unaleta kelele..... Sie tulompa kura tunahakika na kazi yake..... Hayo yako kachukue kwa uliyempa kwa kuzungusha mikono.
  7. P

    Nauliza tu, hivi ni sahihi kufuta kabisa safari za nje?

    Baadhi ya wanadamu hupenda kuongeza maneno yao kama huyu mtoa post. SAFARI ZA NJE HAZIJAFUTWA KABISA. NDIYO MAANA AKASEMA KAMA NI LAZIMA SANA BASI NI SHARTI IPATE KIBALI............ NI VEMA MJUE KWAMBA KAMA VILE MLIVYOKUWA MKILALAMIKA JUU YA SAFARI ZA RAIS, NA WATENDAJI WENGINE WALISAFIRI HIVYO...
  8. P

    Rais Magufuli mpeleke Lowassa Mahakamani kama ni fisadi

    Mtoa posti hii Kwa vyovyote vile hamnazo. CHADEMA NDIYO CHAMA CHA KWANZA DUNIANI KUTANGAZA KWAMBA LOWASA NI FISADI. ILIKUWA TAREHE 15 SEPT 2007 MWEMBE YANGA. KWA MIAKA NANE CHADEMA walizunguka nchi nzima wakisema kwa sauti kuu na kinywa kipana kuwa lowasa ni fisadi. Nani anamuonea Lowasa.
  9. P

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Unaweka oil chafu kwenye gari lako zuri? Unategemea nini kama sio kunoki injini.
  10. P

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Nilipata kuwaambieni ninyi CHADEMA kwamba huyo jamaa ni sumu kwa chama hata kama mnadhani mtapata faida kwake. CHADEMA imeramba sumu kali. Tumbo limeanza kukata. Kifo cha chama ki mbele yenu.
  11. P

    Mtoto wa Kingunge, Kinje amtaka baba yake aache kutumiwa

    Chadema chama cha mafisadi papa
  12. P

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    Hii ndio tatizo la watu kutofikiri wenyewe nje ya box. Kila atakachosema mbowe watu wanakibeba bila kufikiri. CHADEMA NDIYO CHAMA CHA KWANZA DUNIANI KUTANGAZA KWAMBA LOWASA NI FISADI. Mbowe alipowaambia kumpokea kila mtu cdm amekariri maneno ya mbowe....... Kwa habari ya kulinda kura watu...
  13. P

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    Piga kura. NENDENI kwenu au kwenye shughuli yako.
  14. P

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Malofa hawa CHADEMA Walizunguka nchi nzima Kwa miaka 8 wakisema lowasa fisadi.
  15. P

    Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

    Haya rudini tena kariakoo mkakusanye maoni kwa vibaka kujifurahisha. Mwaka huu tunabomoa hadi kibanda cha umbwa TAKWIMU...UTAFITI ULIOFANYWA NA SHIRIKA LA UTANGAZAJI DUNIANI BBC.. KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO: DAR ES SALAAM lowassa 50% Magufuli 48% IRINGA Lowassa 43% Magufuli 54%...
Back
Top Bottom