Kuna watu wanafanya Maria space na kumyweshwa sumu miaka na miaka wanasema chadema akiondoka lissu kunabaki hamna kitu wtf bro .Chama kinaonekana umekikuta mikononi mwa watu unadunda unavaaa tshirt unaonekana mjanja town alafu hawa watu unawaona ni wajinga waliojenga chama kisa kauli za mtu...
Shida ni iko
1. Women: misconceptions and narcissistic abuse hana heshima,jeuri,katili,nidhamu / obey their boss more than their husband (ana thamani kuliko mume)
2. Desire of women to become men .Fake
3.Men: Loose frame and responsibility
Mi namshangaa sana anayepinga katiba mpya nzuri akizani Ni ya CDM kumbe Ni ya watz Wote tumeona jinsi gan ata magereza yanajaa kisa kesi za kubambikizwa na viongozi walafi wa serikali baada ya Kinga hizi!mambo mengine Ni ya FAIDA Sana Katiba ndio msingi wa maendeleo itafika 2025 hata ayo...
Swala Ni kwamba katiba iloyopo haitoi mwanya kwa anaebadilisha au kuvunja kuhukumiwa kwani imeshasema rais hakosei na yu juu ya sheria Maasi mengi yanafanyika kupitia rais kwa sababu toke a mwanzo hashitakiwi na Ni kuzuga 2 Kenya imewezekana south Ghana n.k katiba nzuri
Nin dhumuni la kujiwekea Kinga kwa binadam? Tafsiri yake Ni kwamba atakosea na hawajibishiwi kwa iyo atakua just ya sheria hataka Kama akikosea au kutumia sheria vibaya!hili litawamaliza CCM wenyewe ,Hapa naona haki za kibinadam zikivunjwa zaidi na samia!Hii haihitaji chama kujua ,Tuna sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.