Kinga wanayokwenda kuwekewa Polisi 'undercover' kwenye Sheria inaweza ikahalalisha Polisi kufanya uhalifu dhidi ya binadamu kama Mtwara?

Halafu mnataka Katiba mpya
Hata ikija mpya itavunjwa tu na hatuwafanyi kitu

Mtu anasimama jukwani anaweka sheria anayotaka yeye mpya kutoka kichwani kwake na watu wanapiga makofi ni ujinga mtupu

Tutapitishiwa sheria za ajabu ajabu na tutabaki kusema tunataka KATIBAAAAAAA my
 
Huo mswada uko wapi?

Polisi wanaua watu na raia Pia nao wanaua kila siku unasikia mtu amemuua mama yake au Baba yake NK.

Jamii imeamua na Polisi wanatoka katika ndani ya jamii
 
Hakuna marefu yasiyo na ncha. Ni hatari kubwa sana kuwa chini ya kiongozi muoga sana. Obote kabla ya kupinduliwa alikuwa kiongozi mzuri sana lakini aliporudi mara ya pili aliua sana tofauti na Idd Amin ilikuwa ndogo sana.Hata hivyo woga haukumsaidia, alifurushwa ikulu na jeshi lililo dhaifu sana. Katikati ya dhoruba na kukataa tamaa Mungu hukidhihirisha. Tusimuache Mungu, yanayoendelea yote anayaona. Waliopo leo hawakujua watakuwepo,Kama waliokuwepo kudhani watazidi kuwepo kumbe hawatakuwepo. Mungu ibariki Tanzania.
 
Moja ya mapendekezo yanayopelekwa bungeni ni polisi kutoadhibiwa Kwa jinai pale wanapotekeleza majukumu Yao wakiwa undercover na kusababisha jinai . Kwa mfano polisi yupo undercover akapiga mtu RISASI akidhani ni mwalifu awezi kushtakiwa.

Ikitokea polisi Kuna maandamano au Kuna Jambo lolote la kutafuta haki linaendelea polisi wakataka kulizima na katika kulizima ikatokea jinai basi huyo askari atochunguzwa wala kufikishwa mahakamani Kwa tuhuma zozote.

Aina hizi za Sheria zinaletwa Tanzania Wakati Nchi nyingine ikiwemo Kenya walishafuta kesi hizi na Kinga za aina hii na kuziondolea mbali ambapo Kenya hata Rais akitenda jinai anashtakiwa. Tumeona Afrika Kusini na mataifa mengi yanayojali haki ya kuishi na haki ya Kila mtu yupo chino ya Sheria wakiongoa hizi Sheria. Kwa Tanzania Rais, Makamu, Waziri Mkuu, spika, judge, na Sasa police nao Wana Kinga. Kwa maana nyingine Wananchi pekee ndio wasio na Kinga ila watumishi wa umma wengi na wanasiasa wamewekewa Kinga.

Kwanini tunawaza kuhalalisha uhalifu Kwa watu wanaolipwa mishahara? Hivi hii Kinga ingekuwepo Leo Waziri Mkuu angeenda kuunda Tume ya issue ya Mtwara? Kwanini tusitegemee Kuanzia kesho kutwa Sheria ikipita basi Kila mauaji ya dola tunaambiwa yanafanyika undercover? Kwanini Sheria kama hizi zinapelekwa kwa hati ya dharura? Kuna uharaka Gani?
Sita shangaa Hilo, Kwa weledi wa kitanzania tunatunga sheriakusawazisha makosa waliyotenda wanatoa pendekezo la kupewa kinga mfano na mfanano ni alichokifanya mzee wa bakora na wenzake , hivi sasa japo amekimbilia pangoni,Sasa ni zamu ya akina badluck and co. Mr. Slow kazi kwako katoe ntu pangoni🤔.
 
Watsfanya watakavyowakijua Kinga ipo.
Nin dhumuni la kujiwekea Kinga kwa binadam? Tafsiri yake Ni kwamba atakosea na hawajibishiwi kwa iyo atakua just ya sheria hataka Kama akikosea au kutumia sheria vibaya!hili litawamaliza CCM wenyewe ,Hapa naona haki za kibinadam zikivunjwa zaidi na samia!Hii haihitaji chama kujua ,Tuna sheria ili iweje?nna tusi moja la moyoni nimevunga ,
 
Halafu mnataka Katiba mpya
Hata ikija mpya itavunjwa tu na hatuwafanyi kitu

Mtu anasimama jukwani anaweka sheria anayotaka yeye mpya kutoka kichwani kwake na watu wanapiga makofi ni ujinga mtupu

Tutapitishiwa sheria za ajabu ajabu na tutabaki kusema tunataka KATIBAAAAAAA my
Swala Ni kwamba katiba iloyopo haitoi mwanya kwa anaebadilisha au kuvunja kuhukumiwa kwani imeshasema rais hakosei na yu juu ya sheria Maasi mengi yanafanyika kupitia rais kwa sababu toke a mwanzo hashitakiwi na Ni kuzuga 2 Kenya imewezekana south Ghana n.k katiba nzuri
 
Swala Ni kwamba katiba iloyopo haitoi mwanya kwa anaebadilisha au kuvunja kuhukumiwa kwani imeshasema rais hakosei na yu juu ya sheria Maasi mengi yanafanyika kupitia rais kwa sababu toke a mwanzo hashitakiwi na Ni kuzuga 2 Kenya imewezekana south Ghana n.k katiba nzuri

Ndio maana aliyeenda aliisigina haswa
Ila ni waoga sana wa kubadili na kukubali katiba mpya
Utafikiri watakuwepo maisha
 
Ndio maana aliyeenda aliisigina haswa
Ila ni waoga sana wa kubadili na kukubali katiba mpya
Utafikiri watakuwepo maisha
Mi namshangaa sana anayepinga katiba mpya nzuri akizani Ni ya CDM kumbe Ni ya watz Wote tumeona jinsi gan ata magereza yanajaa kisa kesi za kubambikizwa na viongozi walafi wa serikali baada ya Kinga hizi!mambo mengine Ni ya FAIDA Sana Katiba ndio msingi wa maendeleo itafika 2025 hata ayo maendeleo huyaoni !Haijaanza leo naniii nchi nzima inashabikia ujenzi wa shule moja ndani ya miezi sita hayo ndio maendeleo ?
 
Moja ya mapendekezo yanayopelekwa bungeni ni polisi kutoadhibiwa Kwa jinai pale wanapotekeleza majukumu Yao wakiwa undercover na kusababisha jinai . Kwa mfano polisi yupo undercover akapiga mtu RISASI akidhani ni mwalifu awezi kushtakiwa.

Ikitokea polisi Kuna maandamano au Kuna Jambo lolote la kutafuta haki linaendelea polisi wakataka kulizima na katika kulizima ikatokea jinai basi huyo askari atochunguzwa wala kufikishwa mahakamani Kwa tuhuma zozote.

Aina hizi za Sheria zinaletwa Tanzania Wakati Nchi nyingine ikiwemo Kenya walishafuta kesi hizi na Kinga za aina hii na kuziondolea mbali ambapo Kenya hata Rais akitenda jinai anashtakiwa. Tumeona Afrika Kusini na mataifa mengi yanayojali haki ya kuishi na haki ya Kila mtu yupo chino ya Sheria wakiongoa hizi Sheria. Kwa Tanzania Rais, Makamu, Waziri Mkuu, spika, judge, na Sasa police nao Wana Kinga. Kwa maana nyingine Wananchi pekee ndio wasio na Kinga ila watumishi wa umma wengi na wanasiasa wamewekewa Kinga.

Kwanini tunawaza kuhalalisha uhalifu Kwa watu wanaolipwa mishahara? Hivi hii Kinga ingekuwepo Leo Waziri Mkuu angeenda kuunda Tume ya issue ya Mtwara? Kwanini tusitegemee Kuanzia kesho kutwa Sheria ikipita basi Kila mauaji ya dola tunaambiwa yanafanyika undercover? Kwanini Sheria kama hizi zinapelekwa kwa hati ya dharura? Kuna uharaka Gani?
Ndo Watanzania muone jinsi gani CCM ilivyo takataka, uzuri wake ni kwamba hizi hizi sheria zitampeleka the Hague Samia,muda utaongea
 
Back
Top Bottom