HAYO UNAYOYAFIKIRIA SAHAU KATIBA MPYA UTAISIKIA TU TUNAJENGA UCHUMI KWANZA THEN HAYO YA KATIBA BAADAE KWANZA HII INATOSHA WAPI WEWE UNAONA HAPAKUFAI?Muda si mrefu inakuja KATIBA MPYA , huo uchafu wote utafutiliwa mbali
HAYO UNAYOYAFIKIRIA SAHAU KATIBA MPYA UTAISIKIA TU TUNAJENGA UCHUMI KWANZA THEN HAYO YA KATIBA BAADAE KWANZA HII INATOSHA WAPI WEWE UNAONA HAPAKUFAI?Muda si mrefu inakuja KATIBA MPYA , huo uchafu wote utafutiliwa mbali
Ukiona mtu anajifunga bomu na kujilipua eti atakwenda mbinguni, ujue na uzao wake wote Ni makatili. Ushungi Ni katili asiyemithirikaBibi ushungi ni katili sn kwenye cheo cha uRais atakuua mchana kweupe
Amejificha kwenye diniUkiona mtu anajifunga bomu na kujilipua eti atakwenda mbinguni, ujue na uzao wake wote Ni makatili. Ushungi Ni katili asiyemithirika
Muulize NdugaiUkiona mtu anajifunga bomu na kujilipua eti atakwenda mbinguni, ujue na uzao wake wote Ni makatili. Ushungi Ni katili asiyemithirika
Eti mla kungwi anakua rais wa nchi. A joke!Bibi ushungi ni katili sn kwenye cheo cha uRais atakuua mchana kweupe
Sita shangaa Hilo, Kwa weledi wa kitanzania tunatunga sheriakusawazisha makosa waliyotenda wanatoa pendekezo la kupewa kinga mfano na mfanano ni alichokifanya mzee wa bakora na wenzake , hivi sasa japo amekimbilia pangoni,Sasa ni zamu ya akina badluck and co. Mr. Slow kazi kwako katoe ntu pangoni🤔.Moja ya mapendekezo yanayopelekwa bungeni ni polisi kutoadhibiwa Kwa jinai pale wanapotekeleza majukumu Yao wakiwa undercover na kusababisha jinai . Kwa mfano polisi yupo undercover akapiga mtu RISASI akidhani ni mwalifu awezi kushtakiwa.
Ikitokea polisi Kuna maandamano au Kuna Jambo lolote la kutafuta haki linaendelea polisi wakataka kulizima na katika kulizima ikatokea jinai basi huyo askari atochunguzwa wala kufikishwa mahakamani Kwa tuhuma zozote.
Aina hizi za Sheria zinaletwa Tanzania Wakati Nchi nyingine ikiwemo Kenya walishafuta kesi hizi na Kinga za aina hii na kuziondolea mbali ambapo Kenya hata Rais akitenda jinai anashtakiwa. Tumeona Afrika Kusini na mataifa mengi yanayojali haki ya kuishi na haki ya Kila mtu yupo chino ya Sheria wakiongoa hizi Sheria. Kwa Tanzania Rais, Makamu, Waziri Mkuu, spika, judge, na Sasa police nao Wana Kinga. Kwa maana nyingine Wananchi pekee ndio wasio na Kinga ila watumishi wa umma wengi na wanasiasa wamewekewa Kinga.
Kwanini tunawaza kuhalalisha uhalifu Kwa watu wanaolipwa mishahara? Hivi hii Kinga ingekuwepo Leo Waziri Mkuu angeenda kuunda Tume ya issue ya Mtwara? Kwanini tusitegemee Kuanzia kesho kutwa Sheria ikipita basi Kila mauaji ya dola tunaambiwa yanafanyika undercover? Kwanini Sheria kama hizi zinapelekwa kwa hati ya dharura? Kuna uharaka Gani?
Aibu tupuEti mla kungwi anakua rais wa nchi. A joke!
Watsfanya watakavyowakijua Kinga ipo.Hii Sheria ikipita basi kuna hatari kubwa mbeleni
Nin dhumuni la kujiwekea Kinga kwa binadam? Tafsiri yake Ni kwamba atakosea na hawajibishiwi kwa iyo atakua just ya sheria hataka Kama akikosea au kutumia sheria vibaya!hili litawamaliza CCM wenyewe ,Hapa naona haki za kibinadam zikivunjwa zaidi na samia!Hii haihitaji chama kujua ,Tuna sheria ili iweje?nna tusi moja la moyoni nimevunga ,Watsfanya watakavyowakijua Kinga ipo.
Swala Ni kwamba katiba iloyopo haitoi mwanya kwa anaebadilisha au kuvunja kuhukumiwa kwani imeshasema rais hakosei na yu juu ya sheria Maasi mengi yanafanyika kupitia rais kwa sababu toke a mwanzo hashitakiwi na Ni kuzuga 2 Kenya imewezekana south Ghana n.k katiba nzuriHalafu mnataka Katiba mpya
Hata ikija mpya itavunjwa tu na hatuwafanyi kitu
Mtu anasimama jukwani anaweka sheria anayotaka yeye mpya kutoka kichwani kwake na watu wanapiga makofi ni ujinga mtupu
Tutapitishiwa sheria za ajabu ajabu na tutabaki kusema tunataka KATIBAAAAAAA my
Swala Ni kwamba katiba iloyopo haitoi mwanya kwa anaebadilisha au kuvunja kuhukumiwa kwani imeshasema rais hakosei na yu juu ya sheria Maasi mengi yanafanyika kupitia rais kwa sababu toke a mwanzo hashitakiwi na Ni kuzuga 2 Kenya imewezekana south Ghana n.k katiba nzuri
Mi namshangaa sana anayepinga katiba mpya nzuri akizani Ni ya CDM kumbe Ni ya watz Wote tumeona jinsi gan ata magereza yanajaa kisa kesi za kubambikizwa na viongozi walafi wa serikali baada ya Kinga hizi!mambo mengine Ni ya FAIDA Sana Katiba ndio msingi wa maendeleo itafika 2025 hata ayo maendeleo huyaoni !Haijaanza leo naniii nchi nzima inashabikia ujenzi wa shule moja ndani ya miezi sita hayo ndio maendeleo ?Ndio maana aliyeenda aliisigina haswa
Ila ni waoga sana wa kubadili na kukubali katiba mpya
Utafikiri watakuwepo maisha
Dini gani aliyonayo. Umemuona leo alivyokuwa nacheza SINGELI.Amejificha kwenye dini
Ndo Watanzania muone jinsi gani CCM ilivyo takataka, uzuri wake ni kwamba hizi hizi sheria zitampeleka the Hague Samia,muda utaongeaMoja ya mapendekezo yanayopelekwa bungeni ni polisi kutoadhibiwa Kwa jinai pale wanapotekeleza majukumu Yao wakiwa undercover na kusababisha jinai . Kwa mfano polisi yupo undercover akapiga mtu RISASI akidhani ni mwalifu awezi kushtakiwa.
Ikitokea polisi Kuna maandamano au Kuna Jambo lolote la kutafuta haki linaendelea polisi wakataka kulizima na katika kulizima ikatokea jinai basi huyo askari atochunguzwa wala kufikishwa mahakamani Kwa tuhuma zozote.
Aina hizi za Sheria zinaletwa Tanzania Wakati Nchi nyingine ikiwemo Kenya walishafuta kesi hizi na Kinga za aina hii na kuziondolea mbali ambapo Kenya hata Rais akitenda jinai anashtakiwa. Tumeona Afrika Kusini na mataifa mengi yanayojali haki ya kuishi na haki ya Kila mtu yupo chino ya Sheria wakiongoa hizi Sheria. Kwa Tanzania Rais, Makamu, Waziri Mkuu, spika, judge, na Sasa police nao Wana Kinga. Kwa maana nyingine Wananchi pekee ndio wasio na Kinga ila watumishi wa umma wengi na wanasiasa wamewekewa Kinga.
Kwanini tunawaza kuhalalisha uhalifu Kwa watu wanaolipwa mishahara? Hivi hii Kinga ingekuwepo Leo Waziri Mkuu angeenda kuunda Tume ya issue ya Mtwara? Kwanini tusitegemee Kuanzia kesho kutwa Sheria ikipita basi Kila mauaji ya dola tunaambiwa yanafanyika undercover? Kwanini Sheria kama hizi zinapelekwa kwa hati ya dharura? Kuna uharaka Gani?
Tuna maombi maalumu,atakufa naye kabla ya 2025Bibi ushungi ni katili vibaya sn anataka kinga ya 2025