Recent content by PRJ2012

  1. PRJ2012

    Rais Magufuli: Miaka 20 ijayo sidhani kama kuna watu tutakuwa hai

    Alichosema Rais wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo katika maadhimisho ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mkoani Lindi. "Miaka 20 iliyopita baba wa taifa alikuwa hai lakini sasa ametangulia mbele za haki. Miaka 20 ijayo sidhani kama kuna watu tutakuwa...
  2. PRJ2012

    Wanawake wanaonewa katika hili

    Baada ya break up, mwanamke akianzisha mahusiano soon after anaonekana hajatulia na jamii inayomzunguka inamchukulia vibaya. Lakini mwanaume anapofanya the same thing, jamii hiyo hiyo inaona ni sawa tu na wengine hata husifia 'speed' yake ya kumove on. Hii ni haki kweli wadau?
  3. PRJ2012

    Uzi Maalumu wa Emoji!

    🥰🥰🥰
  4. PRJ2012

    Instagram vs Reality

    Asante boss
  5. PRJ2012

    Instagram vs Reality

    Asante mkuu
  6. PRJ2012

    Instagram vs Reality

    Nimejifunza kutokana na makosa mkuu
  7. PRJ2012

    Instagram vs Reality

    Asante boss
  8. PRJ2012

    Kwani kubandika kope lazima?

    Hatari sana 😂😂
  9. PRJ2012

    Instagram vs Reality

    Nilinunua kwa fedha yetu boss
  10. PRJ2012

    Instagram vs Reality

    Mimi ni shabiki mkubwa sana wa kushop online. Mara nyingi ninapohitaji vitu kama nguo, begi hata viatu, naingia zangu mtandaoni nanunua chapchap mambo yanaenda. Juzi kati hapa ndo nikaamini kuwa sio kinachong'aa ni dhahabu. Niliona kitu kwenye Instagram account moja kubwa tu kama kawaida yangu...
  11. PRJ2012

    Kwani kubandika kope lazima?

    Wengine acha tu tubaki nyuma😂😂
  12. PRJ2012

    Kwani kubandika kope lazima?

    Ndo hapo sasa na mimi huwa najiuliza😂😂
  13. PRJ2012

    Kwani kubandika kope lazima?

    Urembo kazi kweli kweli
  14. PRJ2012

    Kwani kubandika kope lazima?

    Siku hizi kuweka contact lens na kubandika kope imekuwa habari ya mjini. Ni wadada wachache sana ambao hawafuati trend hii. Ila sasa jamani dada zangu mnapobandikwa vibaya kope huwa hamuoni? Shida ni kukosa wataalamu wa kazi hizi au mnafanya kwa bei chee? Kiukweli muda mwingine unatamani...
Back
Top Bottom