Recent content by privacy

  1. privacy

    JamiiForums Tanzania Tupeane mbinu mpya za kuhifadhi pesa za vikundi naona vm-koba kazi inataka kuwashinda

    Umedhihirisha wewe ni wa kupuuzwa
  2. privacy

    JamiiForums Tanzania Tupeane mbinu mpya za kuhifadhi pesa za vikundi naona vm-koba kazi inataka kuwashinda

    Kuna kitu gani umeandika mkuu, mbona kama haueleweki
  3. privacy

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa biashara kwa mtaji wa milioni moja

    Kwa milioni moja
  4. privacy

    JamiiForums Tanzania Waziri Nape: Starlink inakamilisha hatua za mwisho ipate vibali na kuanza kutoa huduma

    Kauli sahihi ingepaswa kuwa (wewe hapo) ‘HAUTAWEZA’
  5. privacy

    JamiiForums Tanzania Simu imejifunga

    Hiyo ni regional lock. Carl care hawawezi kukusaidia maana simu hizo hazikuwa kwa ajili ya ukanda huu. Kuokoa gharama njia uliyonayo ni kuirudisha dukani ulipoinunulia ili wakupe nyingine. Ukikwama na huko pia itakugharimu ku unlock. Kama chaguo la pili litakuwa njia pekee iliyobakia basi...
  6. privacy

    JamiiForums Tanzania Simu imejifunga

    Tafadhali confirm kama ujumbe uliopo kwenye simu yako unaendana na ujumbe uliopo katika picha hizi
  7. privacy

    JamiiForums Tanzania Tupia picha kali utakayopiga na simu yako tujue aina gani ya simu ina kamera matata sana

    Location ni Karatu, Ngorongoro view point ila upande wa pili wa nje ya crater. Camera ni iPhone 13PM na nimefeli kupakia picha kwa resolution yake imekuwa compressed sana humu JamiiForums
  8. privacy

    JamiiForums Tanzania Mbunge Fransic Mtinga: Serikali ilijidanganya kupandisha bei ya kuunganishia umeme, ataka irudishwe kuwa Tsh. 27,000

    Aya ya mwisho nadhani alimaanisha Tzs12,000/= kwa mwaka na sio mwezi kama alivyoandika
  9. privacy

    JamiiForums Tanzania Mnapokeaje kupitia speedaf toka AliExpress

    [emoji1753]
  10. privacy

    JamiiForums Tanzania Mnapokeaje kupitia speedaf toka AliExpress

    Naomba leo nipingane na wewe japo ndio mambo yako haya ya mtandaoni ila kuna wakati yawezekana unapitiwa. Speedaf kwenye aliexpress inatumika kama standard shipping method kuja huku kwetu pia alibaba. Ila si kwamba zote zinazoanzwa na Tz….. kwamba carrier ni SpeedAf. Turudi kwenye post hapo...
  11. privacy

    JamiiForums Tanzania Mnapokeaje kupitia speedaf toka AliExpress

    Hapana unachanganya watu..!! Speedaf wao ni kwenye standard shipping sio hiyo super economy aliyochagua huyu mwenye post
  12. privacy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba ambaye atakuwa Mume Bora

    Kheyri au sio[emoji2955]
  13. privacy

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    #Subie #Subenga
Back
Top Bottom