Recent content by privacy

  1. privacy

    Waziri Nape: Starlink inakamilisha hatua za mwisho ipate vibali na kuanza kutoa huduma

    Kauli sahihi ingepaswa kuwa (wewe hapo) ‘HAUTAWEZA’
  2. privacy

    Simu imejifunga

    Hiyo ni regional lock. Carl care hawawezi kukusaidia maana simu hizo hazikuwa kwa ajili ya ukanda huu. Kuokoa gharama njia uliyonayo ni kuirudisha dukani ulipoinunulia ili wakupe nyingine. Ukikwama na huko pia itakugharimu ku unlock. Kama chaguo la pili litakuwa njia pekee iliyobakia basi...
  3. privacy

    Simu imejifunga

    Tafadhali confirm kama ujumbe uliopo kwenye simu yako unaendana na ujumbe uliopo katika picha hizi
  4. privacy

    Tupia picha kali utakayopiga na simu yako tujue aina gani ya simu ina kamera matata sana

    Location ni Karatu, Ngorongoro view point ila upande wa pili wa nje ya crater. Camera ni iPhone 13PM na nimefeli kupakia picha kwa resolution yake imekuwa compressed sana humu JamiiForums
  5. privacy

    Mbunge Fransic Mtinga: Serikali ilijidanganya kupandisha bei ya kuunganishia umeme, ataka irudishwe kuwa Tsh. 27,000

    Aya ya mwisho nadhani alimaanisha Tzs12,000/= kwa mwaka na sio mwezi kama alivyoandika
  6. privacy

    Mnapokeaje kupitia speedaf toka AliExpress

    Naomba leo nipingane na wewe japo ndio mambo yako haya ya mtandaoni ila kuna wakati yawezekana unapitiwa. Speedaf kwenye aliexpress inatumika kama standard shipping method kuja huku kwetu pia alibaba. Ila si kwamba zote zinazoanzwa na Tz….. kwamba carrier ni SpeedAf. Turudi kwenye post hapo...
  7. privacy

    Mnapokeaje kupitia speedaf toka AliExpress

    Hapana unachanganya watu..!! Speedaf wao ni kwenye standard shipping sio hiyo super economy aliyochagua huyu mwenye post
  8. privacy

    Natafuta mchumba ambaye atakuwa Mume Bora

    Kheyri au sio[emoji2955]
  9. privacy

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    #Subie #Subenga
  10. privacy

    Tusipojidhatiti mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi vijijini, Marangu kutakuwa kitovu cha ushoga

    Nilihisi hivyo pia mpaka nilipokuja gundua zote zimepakiwa na ID moja
Back
Top Bottom