Recent content by Princessor

  1. P

    Simuelewi mwanaume huyu

    Habarini za leo wana Jukwaa hili. nipo hapa leo munishauri ndugu zangu, mimi ni mdada wa miaka 33 niliolewaga zamani ila ndoa ikaota mabawa miaka 6 iliopita. lakini pamoja na hayo bado nina hamu sana ya kuolewa cause naona mara ya kwanza hata sikuinjoy maisha ya ndoa. sasa naomba ushauri wenu...
  2. P

    Hizi ni ndoto hatari sana maishani mwako

    Nimeota nimemeza nyoka, ina maana gani?
  3. P

    Ushauri: Nina mimba ya mume wa mtu

    Asante sana. Ushauri mzuri Na Mungu akubariki sana
  4. P

    Ushauri: Nina mimba ya mume wa mtu

    Heri ya pasaka nyote, Ninaomba ushauri wenu nimetoka na mume wa mtu nimejigundua nimenasa ujauzito wake. Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nini, sasahivi lazima simu zake nisimpate. Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la...
  5. P

    Looking for friends in Singida

    Mlio ni pm naomba na mawasiliano yenu nikijaribu kureply inanigomea
  6. P

    Looking for friends in Singida

    Habari zenu marafiki, Ni mara yangu ya kwanza kujitokeza hapa nia na madhumuni ni kutafuta marafiki kwa ajili ya kubadilishana nao mawazo ya kimaisha. mimi naishi singida ni mfanya kazi kwenye sector binafsi so najitegemea, umri wangu miaka 30 dini yangu mkristo,natamani kupata marafiki...
Back
Top Bottom