Recent content by Princesscharming

  1. P

    Ajali Hii imegeuka kuwa jambo lingine kabisa

    Hii ni utani uliofanywa na Jeff Koinange na broadcaster mwingine huko Kenya sikumbukì radio yao ila nilisikiliza mwaka juzi
  2. P

    Barabara ya Igoma - Kishiri

    Ila Mwanza imekuwa zizi sio jiji machinga wanapishwa na magari
  3. P

    Barabara ya Igoma - Kishiri

    Luchelele hali ndo haifai ni shida jamani.halafu barabara za ilemela nyingi ni nzuri
  4. P

    Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

    Yani wala gharama a anadai kubwa sana misingi miwil vyumba 4 kila nyumba eti katumia tripu 43 za mawe
  5. P

    Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

    Fundi rafiki yangu anajenga nyumba mbili tambarare kwenye kichanga mwanza mara ya kwanza fundi alimwambia mawe tripu Kumi kila msingi mifuko 30 cement msingi wa kwanza akachimba cm 60 akamwambia aongeze mawe trip 6 chini kulikuwa na mawe ndo maana hakuendelea.sasa presure imekuja huu...
  6. P

    Mwanza: Mmiliki wa mabasi ya J4 ahukumiwa adhabu ya kifo kwa kuwaua watu wawili kwa kukusudia

    😁nimecheka itakuwa kweli upo nae ninavyomjua Ukwaju hayo ndo maneno yake sema hana makuu si mtu wa mvurugu
  7. P

    Biashara hii ina faida kupita biashara zote

    Sio rahisi kihivyo biashara ya uhakika machimboni ni baruti
  8. P

    Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

    😁🤣 nipo serious sana tu sema inabidi kwanza niachane na ajira ya mkoloni.hahaha me mbona nafanya
  9. P

    Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

    Aa Ahh unawekwa unatoka watu wanasahau maisha yanaendelea
  10. P

    Umuhimu wa "Mentor" katika biashara

    Nimejifunza kitu fulani hasa kipindi hicho nilichoamua kuachana na white collar job.
  11. P

    Regina luhanga we miss u much

    Oh my God Ether with your dimples !May your soul and that your dady rest in peace.Kumbe Reg alifariki I thought ni Esther tu.
Back
Top Bottom