Recent content by Princess Tee

  1. Princess Tee

    HTC One inauzwa

    janken mbisso Fidelis k If you are serious just pm tuongee biashara. Am sorry mie si mfanyabiashara so sina no ambayo naweza iweka public.
  2. Princess Tee

    HTC One inauzwa

    Imetumika miezi 3 tu haina tatizo lolote, black in colour ipo na kila kitu chake kuanzia box kama unavyoliona hapi hadi risiti kwa Tsh 800,000 (Laki 8 tu) NiPM, Serious buyers only.
  3. Princess Tee

    Yaliyojiri kwenye Birthday Ya Ruge Mutahaba

    Lamkyeku hahahaha kazi kweli kweli.
  4. Princess Tee

    Wema Sepetu: Najuta kumlipia Kajala mil 13

    Hii tabia ya kumsaidia mtu hafu unamsakama na kumkumshia kila siku kuwa bila wewe yeye asingekuwepo hapo ni tabia mbaya tena chafu sana. Saidia kama umeamua kusaidia then ambaa alaaaah. Tenda wema usingoje shukurani. Yaaani huyo Wema ananiboa sana kumsimanga Kajala kisa hiyo 13M lol
  5. Princess Tee

    Yaliyojiri kwenye Birthday Ya Ruge Mutahaba

    Sijui nani ndio mmiliki halali
  6. Princess Tee

    Dida aambulia matusi mazito baada ya kupost picha akiwa anaoga

    Hahahaha kitu confa lodge hiyo, eti hotel bwahahahaha. Aisee mkorogo nomaaaaaa
  7. Princess Tee

    My trip to Russia

    Kuna rafiki yangu naye alienda last year for leasure alikaa 1 week na alienjoy. Tafuta agency hapa bongo yeye atatafuta agency kule watakuunganisha na utapata invitation. All the best.
  8. Princess Tee

    Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

    Mwenye akili na aelewe.....Hongera Dr. You are a great thinker indeed!!
  9. Princess Tee

    Sababu za tatizo la kutokwa na damu puani (Mhina), jinsi ya kuzuia na tiba yake

    Hapana, but am sure hosp kama muhimbili, kcmc au bugando lazima watakuwepo. Kama anatoka damu nyingi inaweza kumuweka katika hatari ya kupungukiwa damu mwilini so the sooner the better!!
Back
Top Bottom