Kwa uelewa wangu proffesional ni zile kama wa akaunts anaposoma cpa, au banking anaposoma cpb etc....ila trainings en workshop ni mambo ambayo ulisoma au kuattend in a short time either masaa au siku mfano semina ya kitu flan km enterprinuer au manament skills smewher
Nijuavyo mm mpangulio wa meno hutegemea na meno yako yalivo...mara nying kama hayako vibaya sana ua kuna kamba inafungwa kweny meno ya aina kam ya chuma kwa muda usiozid miez mitatu na gharama yake ni zaid ya 200k...ila kama yako vbaya then kutahitajika kutoa mengine na mengine kuyafunga....
Kama una nia na kazo we omba na adress yako toa kua uko tanzania....makampuni mengi ata kama ni ndan ya tanzania mengine ua yanafanya interview kwa njia ya skype so naamin na wao ni kampun kubwa na inayojielewa...watatafuta njia ya kufanikisha iyo interview kama ukipita...ata km ni kukutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.