Huoni haja ya kila kitu kuwa wazi kuhusu Richmond, ikiwa ni pamoja na nusu ya ripoti iliowekwa kiporo? CCM inatakiwa itoe jibu na sio kufikiri sisi wananchi tumesahau. Mwenyekiti ananyoosha kidole kwa wengine badala ya kutoa maelezo ya kuridhisha.
Mpaka CCM wanahubiri MABADILIKO mchezooo!!!!! wameshikwa pabaya?????
Unavyohubiri mabadiliko kuna kitu cha kubadilisha, sasa CCM wanabadilisha kitu gani, au hicho wanachotaka kukibadilisha kimesababishwa na nani kama sio wao wenyewe!!!!! UKAWA ndio wenye haki ya kuongelea MABADILIKO na ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.