Hii nchi ni yamaajabu kweli, kwani kudai haki yako mpaka asemewe na wanasiasa? shida sio wanasiasa na wanaharakati shida wananchi wengi hawajitambui hawajui haki zao na waoga.
Hii nchi ndomana haiendelei kwakutetea uzembe kama huu, mkandarasi kashachukua pesa lakini kazi hafanyi kama walivokubaliana mnataka bado achekewe tu? wakandarasi kama hawa ndomana miradi mingi inakufa watuwanaishia kupiga hela tu, Hongera rais Mwinyi kazia hapohapo ili iwe funzo kwawengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.