Kwa style ya raisi wetu pamoja na viongozi wake anamipango endelevu ambayo itafanya nchi yetu ipige hatua zaidi kiuchumi endelea kudumisha vilivyotokomezwa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Baada ya kumpa madalaka sasa hivi pesa kila kona "not available".wananchi wanatafuta kutwa hamna cha kupata.
Cha ajabu pesa haipatikani ovyo lakini haina thamani vitu viko juu!
Au kuna mpango mbadala unaofanyika juu ya pesa?
Ni matumaini yangu kwamba wapo watu wanaowafahamu maproducer au marafiki ambao wanakaa jirani nao.
Lengo ni kupata mawasiliano nae producer yoyote yule
Kama unamfahamu basi nijuze kupitia 0625671346 au 0764948719
Nimehangaika sana! Kupata njia ya kupitia na kutamburisha sanaa yangu katika jamii lakini hatima yake bado ni zero.
Nimeona ni bora nitume ujumbe wangu walau kama kuna mwenye idea au hata company basi aniboost! Katika kuhakikisha napata chance.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.