Ndugu zangu ukweli utabaki u
Kuwa ukweli tu.wananchi wengi na hata baadhi ya wabunge wanapiga jaramba n makerere tu bungeni pesa zirudishwe zirudishwe. Mara ajiuzuru ajiuzuru
Tatizo la viongozi wetu co kuwa ni warafi wa pesa au hawana mapenzi mema na Tanzania hivyo basi hata tukipindua serikali...
Kwa mm navyoona kama ndio uko sawa coz kama hungekuwa hujui kuwa wizi ni mbaya wala ucngepata dhambi.Coz dhambi ni kufanya jambo baya kwa kusudia it means unafanya jambo unalojua kuwa halifai kulifanya hii sasa ndio dhambig
Kwani nyie ndugu zake mko zaid ya 1 mna figo moja moja mbona mnakuwa was e nge toeni moja moja mumchangie hamtaki kanunueni kariakoo kwa wapemba ni laki4 moja
Bro mtambuz hongera ila iyo ni avatar tu naamini hata huyo m2 hujawah kuishi nae kweli we mpumbavu halafu mburura kwa kum judge m2 kwa kumwangalia picha chaajabu picture yenyewe ya kueditiwa afadhali ingekuwa photo
duh bonge la aibu pia ujinga
Jana nilipanda gari ktk kawe 2 so dada m1 alivaa mini skin jeans na brauz yake sasa akaacha sehemu ya mgongo kutoka chini ya kiuno mpanga juu kidogo ya mgongo so mama m1 m2 mzima kadri ka ma 50yrs akataka kumpandisha akabahatika kumpapasa ---- kwani alisogea karibu kwa dereva kwani alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.