Recent content by prince marwa pascal

  1. prince marwa pascal

    TATIZO LINAYOISUMBUA TANZANIA na AFRIKA KWA UJUMLA

    Ndugu zangu ukweli utabaki u Kuwa ukweli tu.wananchi wengi na hata baadhi ya wabunge wanapiga jaramba n makerere tu bungeni pesa zirudishwe zirudishwe. Mara ajiuzuru ajiuzuru Tatizo la viongozi wetu co kuwa ni warafi wa pesa au hawana mapenzi mema na Tanzania hivyo basi hata tukipindua serikali...
  2. prince marwa pascal

    Usijaribu kuuza saa, simu mbovu Kariakoo

    Hoja ya facebook hyo Kwan m2 mwebyewe c ndo anafanya makubaliano nao kwan huwa wanamuibia? Mjinga ndio aliwaye
  3. prince marwa pascal

    Hivi mafundi cherehani wana laana gani?

    Kawaida yao hao so usishangae
  4. prince marwa pascal

    Chanzo cha uovu wote

    Kk swali jingine nakuongezea je unadhani kwanini mungu aliuweka huo mti kisha akawakataza kuula wakati walikuwa wanauona kila wakati na wanaishi nao?
  5. prince marwa pascal

    Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Install adobe reader utaweza kuifungua hyk rasimu
  6. prince marwa pascal

    Wanawake hutolewa bikira na watu wa karibu yao

    hoja yako haina msingi.ni attachie PhD certificate ya uchunguz wako.
  7. prince marwa pascal

    Chanzo cha uovu wote

    Kwa mm navyoona kama ndio uko sawa coz kama hungekuwa hujui kuwa wizi ni mbaya wala ucngepata dhambi.Coz dhambi ni kufanya jambo baya kwa kusudia it means unafanya jambo unalojua kuwa halifai kulifanya hii sasa ndio dhambig
  8. prince marwa pascal

    Msaada, anayeweza kumsaidia FIGO ndugu yangu tutamzawadia

    Kwani nyie ndugu zake mko zaid ya 1 mna figo moja moja mbona mnakuwa was e nge toeni moja moja mumchangie hamtaki kanunueni kariakoo kwa wapemba ni laki4 moja
  9. prince marwa pascal

    Kitumbua cha Bibi (PAPUCHI) kuwasha sana, nini tatizo?

    Unakuna mpaka utamu bac hako ni kajini ka utamu kaache kama kinakupa utamu kuna haja gani ya kukitibu acha ujinga kwani hujui hospitali zilipo?
  10. prince marwa pascal

    Ivi inawezekana kweli????

    Pole dada mshamba kwa upompompo wako aya umeshatongozwa co usimkatalie akija
  11. prince marwa pascal

    Wanawake wenye sura hii hawaaamini sana katika namna walivyo…..!

    Bro mtambuz hongera ila iyo ni avatar tu naamini hata huyo m2 hujawah kuishi nae kweli we mpumbavu halafu mburura kwa kum judge m2 kwa kumwangalia picha chaajabu picture yenyewe ya kueditiwa afadhali ingekuwa photo duh bonge la aibu pia ujinga
  12. prince marwa pascal

    Akina dada mnaijua tekniki hii?

    Ndugu huu unaoufanya ni usenge kama mbovu unauhusiano gani kuna uhusiano gani kati ya sindano na nywele au ndio umedanganywa ng huyo bb yako pole sana
  13. prince marwa pascal

    hodiiiiii

    Welcome but it called jamiiforums great thinkers so ukileta umtaa bola uamie website nyingine
  14. prince marwa pascal

    Ukitaka uheshimike kwenye jamii unayoishi, zingatia haya!

    Jana nilipanda gari ktk kawe 2 so dada m1 alivaa mini skin jeans na brauz yake sasa akaacha sehemu ya mgongo kutoka chini ya kiuno mpanga juu kidogo ya mgongo so mama m1 m2 mzima kadri ka ma 50yrs akataka kumpandisha akabahatika kumpapasa ---- kwani alisogea karibu kwa dereva kwani alikuwa...
Back
Top Bottom