Viongozi wa dini walio wengi wanapenda waonekane wazuri serikalini bila kuangalia watu wanaumia vipi,watanzania wangapi wanapanda ndege hadi uwe kigezo cha kusema Maisha yamekuwa mszuri,
Tahadhari Kwa watumia choo za Mbezi hazina ndoo unaweza subiri hata nusu saa wakati wakizitumia bafuni Kwa kuoga,yamenikuta Leo na mhudumu hakusikilizi zaidi ya kutaka chake 300/=nawakilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.