Vyoo vya stendi ya Mbezi havina ndoo za maji

Vyoo vya stendi ya Mbezi havina ndoo za maji

prince Albert

Member
Joined
Jun 6, 2016
Posts
42
Reaction score
9
Tahadhari Kwa watumia choo za Mbezi hazina ndoo unaweza subiri hata nusu saa wakati wakizitumia bafuni Kwa kuoga,yamenikuta Leo na mhudumu hakusikilizi zaidi ya kutaka chake 300/=nawakilisha
 
Tahadhari Kwa watumia choo za Mbezi hazina ndoo unaweza subiri hata nusu saa wakati wakizitumia bafuni Kwa kuoga,yamenikuta Leo na mhudumu hakusikilizi zaidi ya kutaka chake 300/=nawakilisha
300 au 500?
 
hivi kuna watu huwa mnakunya kwenye hivi vyoo vya stand?
 
Tahadhari Kwa watumia choo za Mbezi hazina ndoo unaweza subiri hata nusu saa wakati wakizitumia bafuni Kwa kuoga,yamenikuta Leo na mhudumu hakusikilizi zaidi ya kutaka chake 300/=nawakilisha
Pole sana mkuu inaonyesha ulitaka kunya kwa kukosa maji ukaacha wakati haja imekubana
 
Pale hapafai vyoo vyao vimeziba, kwa ujumla ni pachafu na bado wanachaji Tsh 500 sio 300
 
Tahadhari Kwa watumia choo za Mbezi hazina ndoo unaweza subiri hata nusu saa wakati wakizitumia bafuni Kwa kuoga,yamenikuta Leo na mhudumu hakusikilizi zaidi ya kutaka chake 300/=nawakilisha
Mbezi choo tsh500/= sio 300
 
Tanzania ya kijinga sana ukienda china vyoo free maji ya kutosha vyoo ni safi.tz watu wanachukua pesa kunya lakini bado huduma mbovu vyoo vichafu yaani waweza muangalia mhudumu wa choo unatamani umkate vibao tanzania sijui ikoje inakera sn
 
Biashara ya vyoo inalipa sana nimekuja kushtukia hiyo
Hivi mtu binafsi unaweza ruhusiwa kujenga public toilet zako
Je taratibu zikoje!

Ova
 
du! hatari kwahiyo ulijiegesha kwenye koki ukachamba??!
 
Hii vyoo vya Mbezi Stendi, ni U.T.I tupu pale, unatoa mia tano, unaenda kununua U.T.I. Vyoo ni vichavu, vimeziba, kwenye sakafu napo ni Pachafu, alafu Wanachukua 500 ndicho choo, kinachoongoza kwa Tozo kubwa Dar yote, ilihali choo ni kichafu.
 
Nenda na yako, acheni ku completisha maisha jamani mnajijazia sumu nyingi mwilini
 
Back
Top Bottom