Recent content by Primm

  1. P

    Nimejisikia raha sana baada ya kupigwa makofi na mme wangu.

    Mie kulia nataka, kucheka nataka. We bidada ulikuwa unatafuta majanga makubwa bila kujua. Mapenzi ni kitu cha hatari sana maana huwezi kujua moyoni kwa mtu amefika kiasi gani kwako, na hasira zake zaweza kufika wapi ama kumtuma afanye nini. Watu wanamiliki silaha za moto kama shati tu, hata...
  2. P

    Ladies. If you deserve to be a wife please read here.

    "Fedha na mali ni urithi mtu hupewa na babaye, lakini MKE mwema atoka kwa BWANA" Ndugu muombe Mungu akuoneshe alie sahihi kwako maana unaweza kumpata mwenye mlolongo wa sifa ulizotaja, lakini ndani mkawa hamuelewani kabisaaaaaa, yaani paka na chui.
  3. P

    Natafuta mchumba!!

    All the best ndugu, Mungu akutane na hitaji la moyo wako!
  4. P

    Mwanaume above 35 hajaoa hafai jamani lazima atakua ni kimeo kama simu za mchina

    Inaweza ikawa kweli lakini si kwa wote. WEngine ni vikwazo na sababu fulani fulani zimewafanya wachelewe lakini they are good.
  5. P

    BINADAMU NDIVYO TULIVYO:utampata wapi mwaminifu?

    Ndugu, inaweza kuwa ngumu kumpata mwaminifu. Lakini inawezakana ukamchukua aisiye mwaminifu na ukamfanya kuwa mwaminifu. Remember: True love does not come by getting the perfect partner,but by learning to see the perfectness into imperfect one.
  6. P

    Tukio la Ufoo Saro licha ya kusikitisha latufunza mengi

    Kwa mtazamo wangu, kwa jinsi ilivyotokea inaonesha Mushi alikuwa mtu wa matukio. Yaani yawezekana ameshawahi kufanya mambo mengine mabaya. Ogopa sana sana mtu ambaye kila mara anapokuwa na tatizo ama makwazo,suluhisho lalke ni kufanya maangamizi. Kama wanavyosema kuwa sometimes back...
  7. P

    Mke wangu kaniambia hanipendi - ushauri tafadhali

    Kwa kweli hili suala ni pasua kichwa japo tumesikia kwa upande mmoja, Ila nashawishika kuamini ndivyo maana si rahisi mwanamume aanzishe gubu ndani ya nyumba halafu aje kutaka ushauri. Inaonekana alimpenda na hakutaka kuhangaika tena na wengine, lakini huyu bibie aliolewa kabla hajayaona...
  8. P

    Unamshaurije huyu dada?

    Doh! Huyu dada mwenzangu sasa anataka kumchokoza Mungu. Wakati unapokuwa na shida nzito na mbele unaona giza, then unapata msaada usioutegemea jua kuwa ni Mungu. Mungu huinua watu wa kukupa msaada pale unapohitaji. Sasa ni jukumu lake na yeye kumsaidia jamaa ili anyanyuke, abadilike na kuwa yule...
  9. P

    Tofauti ya umri katika mahusiano na kwa wanandoa (mume na mke)

    Wewe naona hujatulia. Unachukua katoto ili kasiwe na say kwenye suala zima lauhusiano. Unakaongopea uko kazini wakati unavinjari sehemu, kanaamini na kusema "miss you daddy". weweeeeeeeeeeee, funguka moyo! badili tabia
  10. P

    Wadada tu ndoo wachangie hii hoja

    I think may be aproaching style yako haikumpendeza. Ulimtaka ikashindikana ndo una initiate urafiki wa kawaida. Lakini alikuwa nainterest
  11. P

    Niko huru baada ya kupigwa ban ndefu!

    Karibu tena, but take care!
  12. P

    Ni mwanamke yupi ambaye ni sahihi kuwa naye katika mahusiano?

    Ndugu, Kitu cha msingi nionacho mimi kwanza ni tabia yake. Upendo heshima na uelewa wake. Baada ya hapo kazi inafuata na hata hivyo sio static. Kama ukimuoa msusi lakini hupendi aendelee kusuka, shaurianeni, muwezeshe ashift kwenye business nyingine. That is me!
  13. P

    Skendo ya irene uwoya inataka kuniaribia ndoa!!!!!

    Well, reaction lazima ingekuwepo hasa kwa vile unamzungumzia mwanamke mwenzake. Lakini kimsingi haikutakiwa kudumu, hadi kufikia hatua ya kubembelezwa na bado anaweka msimamo wa kununa. Naamini hayo yalikuwa ni mazungumzo tu na comments katika story hata yeye angaliweza ku comment namna hiyo...
  14. P

    Natafuta Graduate wa kike wa kuoa. Sifa hizo hapo.

    Kaka kwa mtindo huu hapa lazima utapata 'Tangopori'. Upendo wa kweli ni kumpenda mtu vile alivyo na si kwa vile alivyo nayo. Take care!
  15. P

    Natafuta 'Life Patner'

    Well, urefu, umri, na size ya kiuno sio sifa za msingi zinazomfanya mtu akubalike ama asikubalike. Kuna mambo mengi ya msingi. Watu mkifahamiana tabia ndo inamaga zaidi, na haya mengine inakuwa ni added advantage.
Back
Top Bottom