Ni mwanamke yupi ambaye ni sahihi kuwa naye katika mahusiano?

Habari za hapa ndani wadau, katika kuchagua mchumba je ni yupi kati ya wanaofanya kazi hizi ukioa hakutakuwa na shida?
1:Bar maid
2:Mwalimu
3:Msusi
4:Secretary
5:Fundi wa kushona
NB: NAMBA TATU NDIO TUKO KWENYE MAHUSIANO KWA SASA.

ukisema umpende mwanamke kwa sababu ya kazi yake..hizo kazi hapo juu sitakua na amani hata moja wapo...so ka umempeda ni bora kufunga macho tu na kuamua kuchukua mzigo...lakini bora yote lakini bar maid mh...hapo huna mke hapo
 
ukisema umpende mwanamke kwa sababu ya kazi yake..hizo kazi hapo juu sitakua na amani hata moja wapo...so ka umempeda ni bora kufunga macho tu na kuamua kuchukua mzigo...lakini bora yote lakini bar maid mh...hapo huna mke hapo

asante mtoto wa mjini.
 
Barmaid nawe ukiwa chapombe,uktoka mihangaikoni,unapta job kwake,unapombeka,ye ndo atakua bodyguard wako!..then anakulead to home!hapo mapenz hayatachuja!
 
Ndugu, Kitu cha msingi nionacho mimi kwanza ni tabia yake. Upendo heshima na uelewa wake. Baada ya hapo kazi inafuata na hata hivyo sio static. Kama ukimuoa msusi lakini hupendi aendelee kusuka, shaurianeni, muwezeshe ashift kwenye business nyingine. That is me!
 
Oa mwanamke anaekupenda nawe umempenda kwa dhati since upendo ni muhimu katika maisha ya ndoa na uaminifu pia.
Katika ndoa what you need is happiness otherwise utalia na kusaga meno.
 
Kama sifa zingine zikiwa constant, go for mwalimu. Ni wavumilivu sana na huwa walezi wazuri wa watoto.

awa walimu wa siku izi ama walimu wa enzi zile?
walimu wa UPE?voda fasta?anaingiua darasan na kipedo?puuuuuuuuuuuu....it was nw hakubaga kitu
 
Nimeona umeandika kazi za watu

Kwani unaoa kazi?????????????

Piga Goti mwambie Mungu akupe Mke wako
 
Hiyo na3 yako simchezo midomo ya kubwabwaja hapo utakuwa umefika.Ole wako uwe mzembe kazini utakuwa ndo mfano.Kila kitu kama mume wangu.Kwa nini usijaribu sepetu.
 
Habari za hapa ndani wadau, katika kuchagua mchumba je ni yupi kati ya wanaofanya kazi hizi ukioa hakutakuwa na shida?
1:Bar maid
2:Mwalimu
3:Msusi
4:Secretary
5:Fundi wa kushona
NB: NAMBA TATU NDIO TUKO KWENYE MAHUSIANO KWA SASA.

sijaona kigezo cha ss kukusaidia mwanamke maadili bwana sio kazi, kwa miaka ya sasa kazi sio kipimo kuwa huyo mwanamke atakuwa na tabia nzuri, kaz kwako
 
oa mtu unayempenda achana na ushamba wa kuuliza uliza kazi....basi tafuta Rais.
 
Back
Top Bottom