Kaka huwezi kujikinga hata kama ukitumia paid version watu wakitaka data zako wanapata unachotakiwa ni ku minimize risk lakini sio kuzia kabisa hii ni kutokana
Data Attack inaweza kutokea kwenye Network vurnelbilty, OS vurnebilty , App vunerbility, Hardware vurnwbility
Mfano- hardware...
Hivi vitu vinahitaji uwe na hobbie navyo nilijaribu lakin mwish wa siku nilishindwa ku balance muda ukirudi homenumechoka na majukum mengine ndo ikawa mwisho wangu
Safi kabisa...Watu wanachanganya terminology mkuu au unaweza kuiita "Reverse Engineering" kitaalamu zaidi
Sio cracker anaweza kuwa hacker na sio kila hacker anaweza kuwa cracker
Ushauri..! Badala ya kumualika kila mtu DM kwa nini usitengeneze Telegram group alafu invite watu kisha pratice ukiwa kule
Advantage yake unaweza kuweka group call mkawa manongea mada tofauti tofauti kwa mda maalum mfano kuanzia saa moja atayekuwa online unaongea nae bila ku leak real identiy...
Nakubaliana na wewe mkuu Ila kwa kuongozea iko hivi muda mwingine haijalishi hata ukitumia VPN mtu anaweza kukutrack itategemea na aina ya VPN unayotumia iwapo utatumia VPN ambayo Ina save logs unapatikan vizuri Tena bila shida hii elimu ya VPN watu wengi hawaifahamu inabidi waielimishwe Mara...
Hakunaga kitu Cha bure katika internet iko hivi unapata internet bure Ila info. Zako Zina chukuliwa kwa ajili ya matumizi mengine ambayo ukiiingia darkweb vitu Kam ivyo vinauzwa kitendo Cha ku connect kwenye server it means una alllow permanent backdoor kuwa installed mfano advanced keylogger...
Huyu jamaa Ni kipajii aisee nimeangalia game zake Ni Moto anatembeza vichapo [emoji23][emoji23] Atari sasa kila nikiingia playok naenda kuangalia mechi zake tu...! Ashkelon Ni bingwa lakini anatembezewa motoo
allypipi a.k.a pipi kifua uko wapi au bado unalilia chumbani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dunia nzima ipo katika maombolezoo
Nyumbu amekamatwa na majangili wamemchoma mishikaki[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.