Recent content by Price12

  1. Price12

    Nimedukua simu ya mke wangu, Simu zetu zina siri nzito, nakufa mimi

    Pole msikivuTz.Mungu akutie nguvu.Make yeye ndiye ajuaye magumu unayopitia.akujalie amani ya moyo ili u-move on with ur life.pole san mkuu
  2. Price12

    Wanawake wenyewe sasa wakiri kutoka nje ya ndoa zao

    Ndivyo ilivyo hakuna kuficha tena make kila mtu anamahitaji ya kimwili yatatimizwa vpi kama muhusika kila cku kachoka,anakuja late kalewa!uzalendo wataka moyo
  3. Price12

    Simu ya milioni moja, usafiri wa bajaji, bodaboda au daladala

    Hahahaaa Kaizer una utani eeeh!nenda mlimani city utaipata ina guarantee ya 2 yrs.
  4. Price12

    Simu ya milioni moja, usafiri wa bajaji, bodaboda au daladala

    Rrondo nimekusoma mkuu,👍👍👍,nilichomaanisha ukiwa maeneo ya public simu huitumii.unauchuna.labda kwa wale wenye show off.thanx once again
  5. Price12

    Simu ya milioni moja, usafiri wa bajaji, bodaboda au daladala

    Mimi nijuavyo kibaka au mwizi sio lazima anapokuibia ajue una miliki simu ya aina gani.sometimes anakuwa tu anabahatisha tu.hata wenye tochi naamini wanaibiwa.sioni kama ni shida mtu kununua cmu ya milioni moja na zaidi.maadamu anaweza kuinunua.afadhali anayenunua kitu anachokipenda.kuliko...
  6. Price12

    Tanzia: Nimefiwa na mwanangu

    pole sana mkuu,pokea faraja toka mbinguni
  7. Price12

    Kwa wanandoa wanaume: Jinsi ya kukarabati pendo lililochakaa...

    Big up xiexie.ushauri makini sana.barikiwa sana
  8. Price12

    Sina hamu ya kupenda...

    Pole dear,Mungu atakujalia ubavu sahihi
  9. Price12

    Naomba nilipe deni la MMU

    Pole kaka,mshukuru Mungu kakuepusha na mengi
  10. Price12

    Njia kuu utata mtupu!

    Thanx myn masai dada.its hard my dear,thank God and enjoy kabla hujafikwa.thanx alot
  11. Price12

    Njia kuu utata mtupu!

    Thats it heaven.thanx
  12. Price12

    Njia kuu utata mtupu!

    Asante cabhatica,noted with thanx
  13. Price12

    Njia kuu utata mtupu!

    Asante ndg Uteu, huo mchepuko cujui kivile,ila ni binti flan,huwa anatumia sasa huko inategemea si unajua tena,marafiki hawajuii.ikitokea hivo sijui itakuwaje,Mungu aniepushie,patachimbika hatari,tuna watoto 2.asante dear
  14. Price12

    Njia kuu utata mtupu!

    Cyan6 he is myn unajua eeh ni jukumu langu ukumbuke napoona dalili za hatari lazima nisome alert,kwani mie nina damu ya chuma kwamba sifeel pain.nimuache tu.utangoja.saana,sifi na tai shingoni.asante pia
  15. Price12

    Njia kuu utata mtupu!

    Asante sista.umeona eeh
Back
Top Bottom