Naomba nilipe deni la MMU

Naomba nilipe deni la MMU

Pole sana
songa mbele maisha bado yapo na mapenzi yapo,MUOMBE MUNGU ukupe mke mwema

Kind like naziona dall za mke mwema arround me' ila ndo ivo i nid a break either i nid to b sure
 
omba Mungu utapata mke alie sahihi kwako na mwenye mapenzi ya kweli kwako.siyo kila unayemdhania ndiye,mwingine siye.Kuwa makini katika uchaguzi
 
omba Mungu utapata mke alie sahihi kwako na mwenye mapenzi ya kweli kwako.siyo kila unayemdhania ndiye,mwingine siye.Kuwa makini katika uchaguzi

U gat point...chenk uu
 
Halafu wanasema usikague simu ya mpenzi wako
 
Halafu wanasema usikague simu ya mpenzi wako

Nooo way...km anajiamin ata ukimstukiza anakua hana was was.....sio i mwanamke akikuona kwa suprize anataman ardh ipasuke!...
Kukagua ndo mpango
 
Halafu wanasema usikague simu ya mpenzi wako

Kama upo nae just for fun huna haja ya kukagua kwanza haikuhusu. Ila km una malengo na mtu lazma ujue mambo yake ili uelewe km mko njia moja ama mwenzio amekuweka kama ziada
 
Poleh na hongera,but matters of the heart are COMPLICATED..
 
Tatizo ni kwamba wanaume wenye mapenzi ya dhati wanapata wanawake feki and viceversa. Ni shidaa
mkuu yani umequote uzi wooooooooooooooooote huuu?..

button za phillips q243 zimebonyea!
 
Poleh na hongera,but matters of the heart are COMPLICATED..

Ni kwel....for sure ts very complicated....sum1 sim in kumbe yuko kando kando au wkt mwngne out..looo
 
Kama upo nae just for fun huna haja ya kukagua kwanza haikuhusu. Ila km una malengo na mtu lazma ujue mambo yake ili uelewe km mko njia moja ama mwenzio amekuweka kama ziada

Sure...thts the principle!!!
 
Hatari 2pu hapo huyo dada lazima atakuwa anajuta aiseee roho lazima inamuuma sana mwee niliexperience hii muda kidogo
 
Wat do u min uli-experiance....dd u do it some one! Thn ikatokea ovo o wat
Manka m
 
Sijafikia kuoa ila nikianguka najikung'uta vumbi naendelea na safar n than wengi tuliochana tupo kama Mara fiki almost kila mtu ananiambia najutia sna kwann tuliachana na papuchi wananipa kishkaji no string attached ,kinachonicost huwa ni upole coz mi hata nikjua anacheat alaf nnamalengo nae napga chini japo moyo unauma ila kimya kimya tu naondoka na roho yangu
 
Mi nilidhaniaa unalipa denii la kuichangia Jf hahhhha
 
Sijafikia kuoa ila nikianguka najikung'uta vumbi naendelea na safar n than wengi tuliochana tupo kama Mara fiki almost kila mtu ananiambia najutia sna kwann tuliachana na papuchi wananipa kishkaji no string attached ,kinachonicost huwa ni upole coz mi hata nikjua anacheat alaf nnamalengo nae napga chini japo moyo unauma ila kimya kimya tu naondoka na roho yangu

Tehe tehe..iyo inaitwa kiroho safii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom