prettydiva
Senior Member
- Feb 19, 2014
- 101
- 39
- Thread starter
- #81
nashukuru sana kwa kunipa moyo
nashukuru sana kwa kunipa moyo
Pole sana.
Nikushauri jambo...next time pima kama mshkaji umpatae ana mapenzi endelevu(hakuna clues lakini kimtazamo tu waweza kujua)
Tangu siku ya kwanza msome mtu mwenye mapungufu ambayo yanaweza kubadilishwa huwa anaonekana.
Tatizo lenu wadada unaning'ang'ania hata kama nakuonesha wazi kuwa mimi ni player ninaye jaribu-jaribu kuwa na uhusiano wa muda mrefu.
POLE SANA.
Mmmh! pole na hongera
Pole sana bibie hii jinsia Adam ni nouma, ni suruali moja yenye mfuko wa kulia, kushoto na kalioni. jiachie ili maisha yasonge.
Pole dear,Mungu atakujalia ubavu sahihi
Unajua ku quote?
yap hpe umeona hata kwa zilizotangulia na kufata baada yako,hzo mbili simu yangu ilizingua
Pole sana best.
Simama anza safar mpya usiumie kwa ajili yake pengine sio chaguo LA Mungu kwako
Nilikupenda sana Emmanuel lakini katu hukuthamini penzi langu,ulipoumwa nilikubembeleza kwa maneno matamu uone jinsi gani nakujali na kukutakia uzima,ulipokasirishwa kazini bado nlikutia moyo,maumivu yako pia niliyabeba ili kukupnguzia uzito lakini wewe hukuthamini penzi langu katu..mapenzi yako kwangu yalishuka kila siku hupigi simu hadi nipige,tunaishi Dsm hii wote lakini inapita hata miezi 3-4 hatuonani hadi nibembeleze sana,kila nilichokuomba ulidai huna ilihali ulkuwa navyo.
Miaka yako 32 ilinifanya mwanzoni nkuone nmepata kuwa utawaza familia kumbe umri so tabia...machozi yangu hukuyajali wala kunithamini,nilikupenda sana emmanuel mwezi uliopita nilikutamkia tuachane nikajua ni gia ya kukubadilisha ndo kwanza ukasema nenda ili uendelee na wanawake wengine..(wanaume wapendeni wanawake wanaoonyesha kuwapenda kwa moyo kwani mtakuja kujuta baadaye)hyu niliyempenda hakunithamini ipo siku atanikumbuka..
Pole sana dada yangu
Pole mamii, ana 32 tu bado sana kuna watu wanakaribia 40s stil wana act kama ndo wamebalehe jana huwezi amini.
Sometimes wanawake tunaamini wanaume wa umri mkubwa ndo walotulia ila ukweli ni kuwa ndo walewale tena they are worse. Take your time and let him go, wengi tu wanapewa nafasi kibao ya kuweka mambo sawa bado hawawezi kubadilika, time will heal you.
asante sanaaa,ila wanaume wanakuja na staili nyingi cos mapenz aliyonionyesha yalinifanya nimwamini sana na umri wake nilichukulia kama keshamaliza ujana so anahitaji kutulia ili kujenga familia kumbe nlikosea sana...ntafanya hvyo kwa ajaye.