Recent content by pricaso

  1. pricaso

    Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko

    Or Tamisemi fanyieni kazi maombi ya uhamisho ambayo yapo kwenye mfumo wa ess, maombi ya uhamisho ya zaidi ya miezi sita (6) na hii ni kufanyiwa approval tuu.
  2. pricaso

    Wilaya ya Mafia ina watu wachoyo na wabinafsi kuliko maeneo mengine

    Bila kuiona Pangani huu uzi ungekuwa feki
  3. pricaso

    DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

    Acha upimbi wa kututusi kenge usie na madoa wewe. Unafurahia uhamiaji haramu unajua impact zake au unaongea tuu kufurahisha genge. Rwandese mna roho mbaya mno.
  4. pricaso

    Miss JF2024: Nani Mrembo(mwenye mvuto) kuliko Wengine humu JF

    Kura yangu kwa Miss Natafuta though kwa list hayupo.
  5. pricaso

    JamiiForums Usiku wa manane

    Bongo hakuna witchcraft college tusomee ulozi tuu maana hakuna usingizi.
  6. pricaso

    JamiiForums Usiku wa manane

    02:26
  7. pricaso

    Rais Samia anashauriwa kutengua uteuzi wa Hassan Bomboko Haraka iwezekanavyo

    Huyu ali disco Mzumbe Kitivo cha Sheria alipashwa kumaliza masomo yake 2015. Aliliwa kichwa kwa uwezo wake mdogo.
  8. pricaso

    KERO Responded Kinyerezi kuna shida kubwa ya maji, group la DAWASA WhatsApp halifanyi chochote kutatua kero hii

    Wanapita sana humu sema wanapita kimya kimya ila Waziri wa Maji ni mzigo mno basi tuu ndo hiyo kubebana ila to be honest wizara imemshinda kabisa. Hakuna kinachofanyika zaidi ya porojo. NB: tupo na baba ake mdogo Hussein Awesso ni full kuvimba na kuweka majungu kwa watumishi wa umma.
  9. pricaso

    Aibu kwa kampuni ya Cocacola, fanta ndani ina kisoda kilichokunjwa

    Coca-Cola Kwanza Vs Berison Mbezibwa
  10. pricaso

    Siku tulipokutana na kundi la samaki baharini

    Katika harakati zenu hujawahi kwenda mafia, Kigombe, Kipumbwi na Mkwaja, kazi ya uvuvi ni moja ya kazi ngumu sana na maslahi kidogo sana kwa mabaharia.
  11. pricaso

    Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

    Nimekuelewa vizuri tuu kwamba kanisa katoliki linaanda watumishi wake vizuri kimfumo lakini katika uislam ni ujanja ujanja hakuna sehemu shekhe anaandaliwa zaidi ya kusoma madrasa ukijua msaafu vizuri una kuwa shekhe au usitadhi, basi sawa ndio maana hata wewe mwenyewe huwezi jenga hoja, sababu...
Back
Top Bottom