Or Tamisemi fanyieni kazi maombi ya uhamisho ambayo yapo kwenye mfumo wa ess, maombi ya uhamisho ya zaidi ya miezi sita (6) na hii ni kufanyiwa approval tuu.
Wanapita sana humu sema wanapita kimya kimya ila Waziri wa Maji ni mzigo mno basi tuu ndo hiyo kubebana ila to be honest wizara imemshinda kabisa. Hakuna kinachofanyika zaidi ya porojo.
NB: tupo na baba ake mdogo Hussein Awesso ni full kuvimba na kuweka majungu kwa watumishi wa umma.
Katika harakati zenu hujawahi kwenda mafia, Kigombe, Kipumbwi na Mkwaja, kazi ya uvuvi ni moja ya kazi ngumu sana na maslahi kidogo sana kwa mabaharia.
Nimekuelewa vizuri tuu kwamba kanisa katoliki linaanda watumishi wake vizuri kimfumo lakini katika uislam ni ujanja ujanja hakuna sehemu shekhe anaandaliwa zaidi ya kusoma madrasa ukijua msaafu vizuri una kuwa shekhe au usitadhi, basi sawa ndio maana hata wewe mwenyewe huwezi jenga hoja, sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.