Recent content by prezdesho

  1. prezdesho

    Hebu tuachieni Yanga yetu

    Waswahili wanamsemo unasema "pili pili ya shamba inawawashia nini".Nikianza na mzee akili mali hii siyo mara yako ya kwanza kuchafua hali ya hewa mara kibao umekuwa ukifanya... Tukikumbuka sakata la mwaka 2003 yanga kampuni na yanga asili wakati yanga ikiwa chini ya nchunga wewe ndiyo...
  2. prezdesho

    Mkasa wa Manji, Yanga kukodishwa na Kutishia kujiuzulu. Yaliyopo Nyuma ya Pazia.

    Hata mashabiki tusipate hata mia tunachotaka mafanikio ya klabu tu hiyo ndiyo furaha yetu
  3. prezdesho

    Mkasa wa Manji, Yanga kukodishwa na Kutishia kujiuzulu. Yaliyopo Nyuma ya Pazia.

    Umejaribu kuongea uwongo ukaufananisha na ukweli hongera unafaa kutunga vitabu
  4. prezdesho

    Kusoma sayansi Lazima

    Duhh inamaana hata GPA kwenda division siyo kazi
  5. prezdesho

    Kusoma sayansi Lazima

    Kwanza kabisa nimpongeze waziri wa elimu kazi yake nzuri anayoifanya katika sekta yaelimu..... Siwezi kusema moja kwa moja ni kwauzuri gani kwasasa kwakuwa wizara hii ni kama kivuli amakitengo fulani ambacho kipo ndani ya TAMISEMI....Hii ni kwakuwa kwa sasa wizara hii imekuwa ikisimamia sera na...
  6. prezdesho

    Serikali imesitisha ajira zote na nyongeza za mishahara nchini

    MADHARA NA TAFSIRI YA WARAKA HUU Kwanza hakutakuwa na mshahara mpya wala nyongeza yoyote ya mshahara yaani ulipo utaendelea kuwepo hapo hapo..... Ajira ya 2012 na 2013 msipoteze muda kuuliza mtapanda lini na wale wenzangu na mie likizo yenu ya malipo ni mwezi huu basi andikeni hakuna kitu...
  7. prezdesho

    Serikali imesitisha ajira zote na nyongeza za mishahara nchini

    MOVIE BADO INAENDELEA..... Naanza kuamini kuwa kunavita baridi ndani ya serikali kati ya watendaji na raisi.... Awali zilienea taarifa yakuwa hakuna ajira za waalimu mwaka huu na kila mtu akaamini hivyo....Baadae serikali ikaja ikakanusha nakusema itawachukulia hatua za kinidhamu...
  8. prezdesho

    NINI CHANZO CHA TATIZO?

    Katika sekta ya elimu kwa kipindi kirefu sasa kumekumbwa na changamoto mbalimbali husani ,sera na uendeshaji........ Lakini mbali na siasa ambazo zimetawala elimu yetu lipojambo kubwa kabisa la mfumo mzima wa elimu ambalo linazalisha madudu yote haya tuliyonayo...... SIASA KATIKA ELIMU...
  9. prezdesho

    Harufu Mbaya ya Ufisadi Katika Daraja la Kigamboni

    Hata kama wameiba ila walau tumeona kitu
  10. prezdesho

    Harufu Mbaya ya Ufisadi Katika Daraja la Kigamboni

    Nandiyo maana akiiona yapo juu kwenu gharama hupanda pia
  11. prezdesho

    Harufu Mbaya ya Ufisadi Katika Daraja la Kigamboni

    Nataka nikuulize swali tu la kawaida ambalo haliitaji manamba kama yako.....ujenzi nyumba moshi utafanana na dar au mfuko wa cement arusha sawa na mtwara...gharama za ujenzi hutegemeana na upatikanaji wa malighafi ndiyo maana tunasema ujenzi wa nyumba ya tofali za mchanga dar ni rahisi kuliko...
  12. prezdesho

    Magufuli Usiumbe Maneno Kwa Moyo

    Duni kashasema chadema ni warasimu
  13. prezdesho

    Halima Mdee amtaka Rais Magufuli ataje posho na marupurupu anayolipwa

    Twende taratibu mbowe analipwa bei gani kwa mwezi kuanzia uwaziri kivuli,kiongozi wa upinzani bungeni,mwenyekiti wa chama,ubunge na mapato ya ukumbi wake wa disko kwa mwezi shilingi ngapi
  14. prezdesho

    CUF yatangaza rasmi kutomtambua Rais Dkt. Shein na Serikali yake

    Ulisusia bucha fisi ulitegemea nini kingetokea Kingine kutoutambua uchaguzi wa marudio ilitosha kuamini kutotambua kinachopatikana kutokana na uchaguzi huo Mengine tukutane baadae nitayaeleza kuhusu cuf ni siri ambayo wengi hamuijui
Back
Top Bottom