Magufuli Usiumbe Maneno Kwa Moyo

Magufuli Usiumbe Maneno Kwa Moyo

Nchi hii ni ngumu kuongoza kiukweli,, ukitaka kujenga historia ya kujinyonga omba ridhaa ya kuiongoza hii nchi
 
Yego Mkaruka hapa umeingia chaka, point ya mwandishi ni madhara ya kauli tata zinazotoka kwa mkuru, siyo uwezo wa wana kigamboni kulipa nauli ya 200 au 400.
HIZI SIASA ZA KUTAKA KUONESHA KUWA WATU WA KIGAMBONI HAWAWEZI KULIPA 200 YA KIVUKO SIZIPENDIIIIIIIIIIIII.INA MAANA HUKO KIGAMBONI ZINAKAA MAITI HAYA HEBU TUSEME NI KWELI BASI HAWANA HIYO 200 YAANI HATA KUVAA UNIFORM ZA SHULE UKAVUKA BURE UMESHINDWA?????????????????
 
Mawazo yanayojenga,lakini waliokunywa maji ya bendera wanatokwa povu.If possible afanye kazi kibubu lol...
 
YOU ARE JUST A HATER!!
Labda niseme tu kuwa "Haters make us famous"
Mtoa mada kalale usingizi.
We love our President!
toa hoja acha kusema tu mleta maada ana chuki! Ni kipi ambacho mleta maada kasema cha uwongo? Au ni kipi kampakazia? Saa nyingine bora kukaa kimya
 
Rais wangu hana muda wa kurembaremba. Kila binadamu ana mapungufu yake hata na huyu aliyeanzisha hii mada!. Hapanikazitu!
 
Kumbe kaandika Ansbert Ngurumo, basi sina comment maana ndo aina ya uandishi wake.
 
leta ushahidi wa picha. hizi ndo propaganda za kiukawa, mnamtazamo hasi siku zote
 
Back
Top Bottom