Kwanza alikuwa anashindana na nani? Polepole alishasema huu uchaguzi ulikuwa ni kiini macho tu, sababu vitambulisho vya nida na sijui kupiga kura tayari vilikuwa kwenye system ya kupiga kura na matokeo tayari walikuwa nayo.
Huyu bibi kashadoda asubuhi na mapema, asubiri tu anguko lake linakuja.
.......kweli kizuri hakidumu, member mwenzetu huyu wa jamii forum, japo hukutumia jina lako halisi...nikikumbuka mada zako za MMU NA Jukwaa la siasa na ushauri wako Deo Filikunjombe siamini kama haupo tena.
BWANA AMETOA NA KUTWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE.
.......Huyo soda tu mbona nafuu!! Mie nilikuwa nataka kuku wa kienyeji mchemsho kila siku na soda ya fanta ndio maji.
Huwa nikikumbuka nacheka sana, we vumilia......akishusha tu hata tamani hiyo coke. Ni hormones za mimba hizo.
.......Mie pia mla vumbi, ila nawaonea wivu wabeba box. Hawana mifoleni ya ajabu ajabu barabarani.
Maji na umeme wanapata all the time, hawana mgao hao. Huduma za afya kwa raha zao.
Mgojwa akizidiwa, ambulance ipo mlangoni ndani ya 10 mins. Yaani kwa kweli wana raha sana.
Sasa huku Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.