.......kweli kizuri hakidumu, member mwenzetu huyu wa jamii forum, japo hukutumia jina lako halisi...nikikumbuka mada zako za MMU NA Jukwaa la siasa na ushauri wako Deo Filikunjombe siamini kama haupo tena.
BWANA AMETOA NA KUTWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE.
.......Huyo soda tu mbona nafuu!! Mie nilikuwa nataka kuku wa kienyeji mchemsho kila siku na soda ya fanta ndio maji.
Huwa nikikumbuka nacheka sana, we vumilia......akishusha tu hata tamani hiyo coke. Ni hormones za mimba hizo.
.......Mie pia mla vumbi, ila nawaonea wivu wabeba box. Hawana mifoleni ya ajabu ajabu barabarani.
Maji na umeme wanapata all the time, hawana mgao hao. Huduma za afya kwa raha zao.
Mgojwa akizidiwa, ambulance ipo mlangoni ndani ya 10 mins. Yaani kwa kweli wana raha sana.
Sasa huku Tanzania...
...........huwa sielewi hapo nilipoweka nyekundu, yaani ndoa ni karaha hakuna raha halafu msiachane kwa kisingizio cha ndoa ya kanisa.
Hivi ndoa ni ya watu wawili au kanisa? Haya ni mambo ya kizamani sana aiseee!!
...........Kwa nini wewe ulipe ada ya mtoto na wakati baba yake yupo?
Huyo mwanamke ana lake jambo, je yeye hafanyi kazi hadi anakupa wewe jukumu la ada?
Pole sana, ndio mitihani ya maisha.
Ila suala la kumuacha, wewe ndio mwamuzi.
Kuoa mwanamke mwenye mtoto si tatizo, ila kama bado anakuwa...
...........Aisee mbona hatari!! Yaani marehemu hajasifiwa hata kidogo, kila mtu naona anamponda humu.
Ila inatupasa kuishi vizuri hapa duniani, maana hatujui siku wala saa.......tunatembea na mauti muda wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.