Kabisaa mi nishakula solex langu ata sijui nini kinaendelea kwake hatak kabisa kukosolewa anajiona yupo perfect kuliko kuwasema wenzie no moja ila yeye sasa anajikuta victim mi nmefurahi sanaYaan kila kitu anajua yy,zaid alichokuwa akinikera ni kutokupokea maoni ya wengine,akipost kitu ukimkosoa tu unakula solex,muda mwingine anakurupuka tu ukimweleza ukweli kufuri. Yaani mshenzi sana
Cc: Ras Simba.The snake is already dead why should i use ....
Heheheiyaaaaa kumbe wazungu kama kina juma wetu tu fulu maaction baada ya kuachana
Mtapayuka sana na kuendelea kumjaza ujinga, mchawi wa Mange ni Mange mwenyewe, aachane na maisha ya watu na aishi maisha yake na Mungu atambariki. That's it!
Na mimi natumikia ban sijui itaisha lini hivi nimefungua hii inipoze machungu ya ban.pole sanamie nacheeeeka tu.
Hizi habari nilizijua long time,nikaleta huku naye akaja kukanusha.
Akasababisha nikapigwa ban ya siku kadhaa.
Yako wapi?
Sioni jipya ndio maana niko kimya.Japo nilishtuka sana kwa picha za mrembo Nyari na Lance.
Na zile caption za Kichwapanzi ndio kabisaaaaa mbavu sina.
#MeAmBiziiiii mwasu Ayanda85
I like Mange's drama, na divorce ni kawaida now days.
Na mimi natumikia ban sijui itaisha lini hivi nimefungua hii inipoze machungu ya ban.pole sana
kiboooooooooooooooooooooo ngoja huyu mpare afufuke zari atatukaniwa mpaka nywele za kwapa za bibi yake kaburini
Amfufue mara ngap leo kamuamkia zari kuwa kabla ya kuzaa na mond alikuwa na watoto 4 na uyo wanne ni wakike anamfichakiboooooooooooooooooooooo ngoja huyu mpare afufuke zari atatukaniwa mpaka nywele za kwapa za bibi yake kaburini