Kweli Kabisa Angekua Ana Msimamo Binafsi Asingeleta Habari Yake Hapa, Kwanza Ipo Kimalalamiko Na Si Kutaka Ushauri Hasa Namba Moja... Huyu Hata Siri Za Chumbani Atakua Anawasimulia Majirani... Kwa Mtu Unayempenda Na Kumthamini Hata Huwezi Kuja Kumwandika Humu.. Kuna Mambo Mengine Unatakiwa Uamue...
Tungeshauri Uachane Naye Ungefanya Hivyo Kwani Mpaka Umeleta Jukwaani Ni Kwamba Ww Huna Msimamo Binafsi Ndo Mana Umeleta Kwa Wadau Na Kwa Mantiki Hiyo Ingetokea Wote Tunakwambia Achana Naye Ungekubaliana Nasi.. Take Care
Mkienda Kule Mtasikilizwa Na Mtapata Jibu Papo Kwa Papo, Msikate Tamaa Na Kama Unaweza Jitose Uende Hata Pekee Ako Usisubiri Uwe Na Wa Kuongozana Nao Coz Siku Zinazidi Kwenda.
Kwa wale ambao hamjaajiriwa poleni sana, ila nendeni tena wizarani mkajue tatizo nini pengine barua zenu zilikua hazina viambatanisho( Vyeti) kwani nimeona hilo nalo wameligusia.
Na kama idadi waliyosema ni tofauti na waliyotoa basi kuna uwezekano mkubwa mkaajiriwa mapema mwezi ujao.
Nawaonea...
Mawazo Ya Mungu Si Kama Mawazo Ya Wanadamu, Hakuna Jambo Lisilowezekana Kwake, Yale Ambayo Tunaona Ni Magumu Kwa Mungu Ni Mepesi Sana. Naamini Katika Mungu Tutaajiriwa Kwani Mungu Si Dhalimu Kama Tulivyo Wanadamu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.