Wakuu habari!
Najitokeza hapa kutafuta mchumba wa kike ambaye yupo serious tu, awe kanda ya ziwa, akiwa Mwanza itapendeza sana, awe Mwalimu au Nurse, akiwa mwalimu itapendeza zaidi, awe na umri wa miaka kuanzia 20-25.
Mimi elimu yangu ni degree na nipo kazini, nina miaka 27, aliye tayari ni PM.