Recent content by prax

  1. P

    The Working Class, Savages in Suits

    ahhhhh Lara umeburuza sanaaa..i wanted to know Linda kambwagaje Ronny..na mengine mengiii not fair bhnaaa hata kazi haziendi hapaaa
  2. P

    The Working Class, Savages in Suits

    Lara my dear,,,ushauri wa bure....think of how to turn these stories into money,,I know huvungi kwenye swala la pesa. Tena ungeongea na producer mmoja mkali mnatoa movie au series kabisaaa itapendwajeeee?
  3. P

    The Working Class, Savages in Suits

    khaaa huyo Linda ashaanza kuniboaaaaa...how cau even think of a man aliyekuaibisha vileeee loooh.Halafu mwanaume gani unaweza kuoa mwanamke ambaye tyr umeshamuexpose kwa watu loooh
  4. P

    Naombeni kujuzwa kama kuna madhara yoyote kiafya kufunga kizazi

    Hi,kuna hii tendency nimekuwa naiona kwa akina mama waliozaa watoto waliowatosha,wanafunga kizazi kabisa ili kuepukana na hizi njia na uzazi wa mpango ambazo zina madhara kadha wa kadha. Naombeni kujuzwa kama kuna madhara yoyote kiafya kufunga kizazi maana nimesikia wengine wanasema ukifunga...
  5. P

    Msaada wako wa mawazo unahitajika hapa.

    Habari wanajamvi, Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 26.Miaka minne iliyopita nilikuwa na boyfriend ambae nilimpenda sana lakini kwa bahati mbaya katika safari yetu ya mapenzi ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na mapenzi ya dhati kwangu kwa sababu nilikuja kugundua ana msichana mwingine.Kwa...
  6. P

    Nywele zangu zinatoka zenyewe kichwani

    Habari wanajf. Mimi ni mwanamke mwenye miaka 26,sijawahi kupatwa na tatizo lolote kuhusu nywele,ila tangu juzi nimeshangaa kuona nywele zangu zikipukutika kichwani.Yaani nikizishika tu zinatoka zenyewe na sehemu iliyotoka nywele inabaki kipara kabisa. Nisaidieni jamani sijui ni kitu gani...
  7. P

    Msaada, nahitaji kujua lugha ya mume wangu

    Nashukuru wote kwa mawazo yenu!mwanzoni mimi sikujua kama linapaswa kuniumiza kichwa,lakini wadogo zangu walipokuwa wanakuja kunitembelea na kumkuta mume wangu anaongea kilugha kwenye simu ndipo wakaanza kuniuliza kwa nn anaongea hivyo wakati mimi sielewi!tena ikatokea marafiki zangu walikuja...
  8. P

    Msaada, nahitaji kujua lugha ya mume wangu

    Mh ndugu kujifunza lugha ya mtu ni kazi kwelikweli,cha kwetu chenyewe nasikia tu ila kujibu ni shida.
  9. P

    Msaada, nahitaji kujua lugha ya mume wangu

    Habari zenu jamani, mimi ni mwanamke mwenye watoto 3 na mume wa ndoa! ndoa yetu namshukuru Mungu anatusaidia tunaishi vizuri kwa maelewano. Shida yangu ni kuwa mume wangu ni kabila tofauti na mimi, sasa yeye anapenda kweli kuongea kilugha na ndugu zake either kwa simu au hata wakija nyumbani...
  10. P

    Maziwa ya mtoto yanatoka machache, naombeni ushauri

    jamani mi nina tatizo hilo sana na wangu ana miezi mitano sasa,megu za maboga nikienda sokoni zinapatikana?
  11. P

    Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

    Asante nitafanyia kazi ushauri wako,sitaacha kuleta feedback.Ubarikiwe.
  12. P

    Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

    Nashukuru kwa ushauri wako ndugu,majani ya mgagani naweza yapata wapi kama unaweza kunisaidia nitashukuru.
  13. P

    Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

    Habari wana JF, mimi ni mwanamke mwenye umri miaka 26, mwaka 2012 mwezi wa tano niliumwa sikio sana kiasi kwamba ukipita upepo kwangu ni maumivu. Nikaenda hospitali wakaniambia uchafu umejaa, wakanisafisha, nikapona kabisa. Mwaka jana desemba likauma sikio la kushoto maana la mwanzo lilikuwa la...
  14. P

    Hana hisia na mimi

    Duh meipenda hyo.
Back
Top Bottom