Kiukweli Raisi Magufuli Anastaili Pongezi Kubwa Sana, Kwa Wanaombeza Tusishughulike nao Pasipo Shaka Wana Matatizo yao Ambayo mimi Binafsi huwa siyaelewi.
wakichakachua tutajua tu, na tukijua tu hataachwa mtu salama pale sekretariet maana tutacompare majina ya walioitwa kazini ka yanafana na yale walioitwa kwenye oral kipindi cha nyuma isitoshe kanzidata kwa sasa kwa baadhi ya kada haina majina yaliyotunzwa mfano kwa kada ya hr kwasababu mchakato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.