Linatumika vbaya hasa kwa diff gender, viwanawake vidangaji ofsini ndio zao zinajifanya kama vnatania dear dear kumbe ndio vna express upatikanaji, ukifuatilia tabia zao udangaji mtupu , hakuna mwanamke anayejiheshimu goes qrround calling Men majina ya kimahaba
Haupo peke yako, hata mimi nimeachana nazo salamu za majina ya umizimu na majina ya wachawi, baada ya kuokoka na kutambua lipo jina tulilokirimiwa lenye hadhi kuliko majina yote, wao wanune wapasuke watajijua maana hawana mbingu ya kunipeleka kwanza
Kabla ya Julian calender inasemekana kulikuwa na lunar calender, tafiti kuhusu hii na ndio iliyokuwa inatumika enzi za agano la kale mpaka jipya, Yaan siku zilikuwa determined signs of heavens/Mwezi
Ukishaona mtumishi anahubiri sana kuhusu prosperity, na hata akikemea dhambi lazima ai link na prosperity na sio kuokoa nafsi yako, wito wake anasema ni kuja kutoa ulokole wa kinyonge na kuwaaminisha watu kuwa ufalme wa mbinguni ni power, utajiri, mamlaka kama yale ya dunia hii yan yy anaamini...
Kapola ukimsikiliza kwa umakini in btn lines na kama nimsomaji Mzuri wa Neno na Roho mtakatifu yu ndani yako, utamshtukia faster..yule sio mtumishi wa Mungu bali motivational speaker tena wa ule upande mwingine direct kabisaa..ndi maana kuna topics hutamsikia anazigusa hata kwa bahati mbaya..
Hawatakiwagwi popote hao div 1 , wanachukuliwa kama threats ,waajiri wakishaona ona tuu vyeti vya hvyo unawekwa benchi, wasomi na brain creams za hii nchi ningekuwa zinapewa fursa na kutumika ipasavyo, tusingefika mahala pabaya hivi yaani tungekuwa mbali sana!!
Kama unakiri waroma walibadili miezi na siku za mwaka, una uhakika gani kama hawakubadili Siku? Au ulitaka waje wakuambie tricks wanazotumia kuwachezea akili? Hvi nyie hamjiulizagi why mnawakashfugi sana waroma ila wala hawanaga time na nyinyi yaan wanawachekaga kichina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.