Kwa kawaida rais anapaswa kuwa na magari yasiyozidi 4 na si chini ya matatu( mbele na nyuma ) lakini jk alikuwa na msafara wa magari kama 10 hivi plus polisi fagia road
Kuongea Kiingeretha ni kutharau lugha yako. Thatha ni muda mthuri kwa Magufuli kukiinua Kiswahili. Unakumbuka jinsi JK alipohutubia kwa Kiswahili kwa mzee Madiba watu walishangilia thana thana.
Kiingereza jifunze cha kusoma tu. Namshauri Magufuli asijaribu kutumia kiingereza hata thiku moja...
NIPASHE wako biased kweli. Kwa sababu wale vijana 8 walishitakiwa kwa kosa la kujumlisha matokeo na kuyatoa bila idhini ya Tume lakini wao wamesema kwa kosa la kujumlisha matokeo. Nadhani kujumlisha matokeo siyo kosa kama Kova alivyodai shida ni kuyatoa bila kibali
Kuna watu wamejipanga kukosoa serikali mpya. Sasa soma taarifa hii mpaka mwisho uone inavyoshughulikia matatizo ya Wtanzania
SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (DARUSO)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA WANAFUNZI WA MWAKA WA KWANZA
Ndugu wanafunzi wa mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.