Wapi alipo Maalim Seif kwa sasa?

Wapi alipo Maalim Seif kwa sasa?

Ukimya wake unaweza leta wasiwasi kwa wananchi wake wakahisi ameshapokea mlungula.
 
Ningependa kujua walichomzushia ili nifanye usafi kwa machungu zaidi ya jana, maani hii ya leo ni ya JPM.
 
Watanzania wanahaki ya kujua mahali wanapoishi viongozi waliowachagua, sasa swali la msingi ni wapi alipo aliekuwa makamu wa rais wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar mzee wetu maalim Seif Sharifu Hamad. Kwa wale magreat thinker tayari washang'amua kitu hapa
Unamtaka?
 
Yuko katika mazungumzo na viongozi wa CCM. Kinana amesema jana
Kinana wamesema hajui kama watafikia mwafaka.
 
Kuna habari zimeanza kuzajaa Mtaani kwamba kashatangulia mbele ya Haki
 
Watanzania wanahaki ya kujua mahali wanapoishi viongozi waliowachagua, sasa swali la msingi ni wapi alipo aliekuwa makamu wa rais wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar mzee wetu maalim Seif Sharifu Hamad. Kwa wale magreat thinker tayari washang'amua kitu hapa

Kuna hii taarifa nimekutana nayo kwenye group moja hvi, sijui kama ni kweli au ni uzushi wa wahuni tuu.
 

Attachments

  • 1449643906110.jpg
    1449643906110.jpg
    28.7 KB · Views: 576
page ya ITV wamekanusha hio habari
 

Attachments

  • 1449644633136.jpg
    1449644633136.jpg
    60.9 KB · Views: 509
Wanao zusha mungu awalaani , na kama wana mpango huo basi. waache......maana namba zitasomeka.....bila kikomo....huyu ndio anaetuliza mambo..
 
Back
Top Bottom