Recent content by Potea wa potea

  1. Potea wa potea

    KIKWETE AKUMBUKWA

    Kwa waliokula chumvi raisi bora ni mwinyi
  2. Potea wa potea

    KIKWETE AKUMBUKWA

    Leo anaonekana bora lakn mlimtukana sana humu jf
  3. Potea wa potea

    Hazina ya Tanzania imefilisika, Rais aseme tu ukweli

    Kufilisika kwa serikali ni hatua ya kulipa mishahara, kutoa huduma kwa wananchi....ambapo kufilisika kwa serikali kuna athiri sekta binafsi....mfano ugiriki mwaka jana hata kuchukua pesa benk kulikuwa na masharti.....mishahara ilishushwa na pesheni.....
  4. Potea wa potea

    Hazina ya Tanzania imefilisika, Rais aseme tu ukweli

    Nyumbu kazini....serikali iliyofilisika haiwezi kulipa mishahara, kuna miradi mikubwa inaendelea, bank zinafanya kazi
  5. Potea wa potea

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nahitaji mtumishi wa kubadilishana naye ualimu sekondari aje wilaya mpya kigamboni mm niende kibaha mjini tuwasiliane kwa namba 0714962984
  6. Potea wa potea

    Yaliyojiri Mahakama ya Kisutu: Kesi ya ndugu Maxence Melo - Hatimaye apata dhamana

    Inasikitisha serikali inadiscourage innovation za wananchi
  7. Potea wa potea

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Naamini qurian sabab kile kilichozungumziwa yote yaliyosemwa nayaona yanaukweli mfano kuhusu kifo, maisha ya dunia na vilivyomo ndani
  8. Potea wa potea

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo kigamboni nije ilala mawasiliano 0714 962984....nakupa na bonus
  9. Potea wa potea

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo kigamboni nije ilala.....sekondari...mawasiliano 0714962985
  10. Potea wa potea

    Makonda awajibu mawaziri wanaohoji anatafuta nini

    Kazi nzuri keep it up! Tunataka maendeleo!
  11. Potea wa potea

    Rasmi sasa: Container zote za import kubaki bandarini

    Safi sana! Itapunguza hata uingizaji wa madawa ya kulevya hovyo!
  12. Potea wa potea

    Mbowe afuta UKUTA, aibukia taifa

    Huo ni uchochezi
Back
Top Bottom