mimi sio professional coz sijawai kusoma computer darasani ila ni mtaaani tu, na program in python and/ (django), postgresql, css(bootsrap) , html, na basic pen testing. eg of my work is UALIMU website for educational courses
practice makes perfect, naomba kujua sehem kuna codecamp na meeting kuhusu software engineering kwa dar, pia kama nitapata patner wa kubadilishana mawazo itakua vizuri zaidi au hata internship
naomba darasa kidogo maaana ya maneno haya . policy, law, regulation, and guidelines na itakua vema kama ntapata na vyanzo vyake. ikiwa kwa kingereza itakua vyema zaidi.
nimesoma masomo ya sanaa advance, chuo nikachukua ualimu wa masomo ya sanaa (Shahada). upande wa komputa sijawahi kusoma shule/ chuo chochote, niko dar es salaam
mimi ni kijana (mid 20s). taaluma yangu ni mwalimu, nimeajiriwa (private). nilkua na ndoto za kuchukua fani za injinia tangu mdogo, ila mazingira ya o-level na uzembe binafsi ukaua ndoto hizo, nilipomaliza kidato cha nne kabla ya matokeo nilienda gereji za mtaani kujifunza umeme wa magari ,kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.