Duniani kote huo mdio utangazaji wa kisasa wa kwenye televisheni. Mpira pale wote tunau9na kwa macho hivyo hakuna haja yeye awe amatangaza kila move wakati tunaiona. Amachofanya ni kuyashabihisha matukio tunayoyaona mchezoni na taarifa mbali ili kunogesha experience ya watazamaji.
Yuko vizuri...
Pensheni yako uliitafuna ujanani, kwahiyo ni sawa tu kutumia pesa uliyonayo kusomesha.
Ishu si kipi kianze na kipi kifuate kwenye maisha, issue ni kwamba vyote lazima vikutokee kwenye maisha yako.
Hiyo no fursa sasa hapo unachopaswa ni kuichangamkia na kufungua huduma za uwakala upige pesa.
Tena hapo unafungua uwakala wa CRDB, NMB na mitandao ya simu.
Hili suala Hersi alishawahi kulizungumzia. Fatilia mahojiano aliyafanya na kipindi cha Wasafi Fm cha kina Edo Kumwembe na Oscar. Alisema kabisa kuna namna simba anapangwa kuwa bingwa ili kuleta utulivu kwa mashabiki wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.