Jamaa ni kweli alikuwa na ladha ya pekee kiuimbaji. Taarifa zilizopo ni kwamba Katika Moja ya safari zao nje na band kuna nchi Mwamba alibaki huko huko na kujichanganya Kitaa so hakurudi bongo[emoji2]. Naomba kuwasilisha wenye ya ziada wataongezea.
[emoji2]mkuu nafuatilia najitahidi tu kufungia jukwaa nione mambo yanavyoenda. Kwenye nchi kama zetu ukipata dharula kama yangu lazima ujue pa kuanzia.
Ninahitaji mkopo wa dharula wa 2M or 3M Mimi muajiriwa mwenye kipato Cha kati. Msaada plz. Nina uwezo wa kurudisha Laki hadi Laki na nusu Kila Mwezi.
Nipo serious wakuu
Sitasahau nilivyoanza kukopa hela kwenye applications za mikopo nilizokuwa nazidharau nikiona matangazo yangu Facebook. Sasa picha linaanza kuna siku nataka kukopa TENI kwenye Moja ya application za MIKOPO wakaomba picha yangu ya kuscan nilikuwa bar then nakimbia toilet kupiga picha kwa Siri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.