Recent content by POPOLO

  1. P

    Lowassa umeturoga?

    Ha ha ha haaaaaa... Koh koh!... Mi mwenyew limwata limeniingia..
  2. P

    Lowassa amjibu Kinana huko Pemba!

    Nipo kama wewe
  3. P

    Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby

    Hii ipo... Kuna kabila(jina kificho) yan kushare mpenzi mke wao ni kawaida...
  4. P

    Sikulazimishi usiichague CCM, lakini hebu soma hili

    Ukishasoma comment ukisha comment soma comment yako then ask yourself je wewe ni lofa (mvivu kufikiri)
  5. P

    LOWASSA agoma kujibu swali la RICHMOND mkoani Dodoma

    Acha uongo nilikuwepo jana kwenye mkutano... Lengo langu ni kutaka kuona kama kwel watu wanapelekwa na mabasi.. Jana watu wameenda wenyewe.. Hakuna cha nafasi ya kuuliza maswal wala nini.. Mimi sina chama lengo ni kusikiliza Sera zinazotekelezeka.. Hivi ni kwanini unaamua kuweka uongo ili mtu...
  6. P

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Huku kwe2 wanasema heli Lowasa coz hata safu ya watendea kaz imara anayo hemu fikiria kama makamu akawa pro Lipumba.. Waziri mkuu akawa Mbowe... Wazir wa Elimu akawa Mbatia.... Sasa Kwa CCM rais Magufur Mzur watendea kaz c watakuwa wale wale wanaoiba twiga kweupe?!.. GARI LA BOVU KUPAKWA RANGI C...
Back
Top Bottom