Acha uongo nilikuwepo jana kwenye mkutano... Lengo langu ni kutaka kuona kama kwel watu wanapelekwa na mabasi.. Jana watu wameenda wenyewe.. Hakuna cha nafasi ya kuuliza maswal wala nini..
Mimi sina chama lengo ni kusikiliza Sera zinazotekelezeka..
Hivi ni kwanini unaamua kuweka uongo ili mtu...
Huku kwe2 wanasema heli Lowasa coz hata safu ya watendea kaz imara anayo hemu fikiria kama makamu akawa pro Lipumba.. Waziri mkuu akawa Mbowe... Wazir wa Elimu akawa Mbatia.... Sasa Kwa CCM rais Magufur Mzur watendea kaz c watakuwa wale wale wanaoiba twiga kweupe?!.. GARI LA BOVU KUPAKWA RANGI C...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.