poleni sana na majukumu
mimi ni kijana (23) kutoka kabila fulani mashariki mwa tanzania, nataka kutembelea pande za upareni soon..shida yangu ni lugha, naomba mnipe maneno machache mafupi ili niweze japo kusalimia,kushukuru,kuomba maji, kutoa ahadi kwamba tutaonana baaye,nakup..da etc.