Recent content by PONTIF

  1. P

    Msaada tatizo la macho

    Nina mwanangu amezaliwa Ana siku nne nimemkagua jicho moja upande Ni jekundu naomba kujua Nini tatizo
  2. P

    Vyuo vya ualimu Bunda na Bustani vimefungwa kwa kukosa chakula

    Pia na chuo cha ualimu Butimba wameambiwa kufikia jumamosi wasionekane chuoni kwani chakula hakuna watajulishwa kama ni wiki mbili au kuja kufanya mtihani
  3. P

    Swali la Wiki: Upi Msimamo Sahihi, Kupiga Kura ya "Hapana" au Kususia Kupiga Kura?

    Hapo bora kususia kwa sababu ukipiga kura ya hapana inamaana unataka katiba iliyopo iendelee. Kwa hiyo bora kuacha ili zoezi litafutiwe mda mwingine wa kuliweka sawa
  4. P

    Kilichosababisha Zitto Kabwe kufukuzwa CHADEMA na tahadhari kwa watanzania wapinga Ufisadi

    mashodi Unachoandika hata hueleweki chadema kimefanya uamzi wa busara tunauunga mkono wanachama
  5. P

    Kitu Perfume. . . .

    Jamaa umeongea vizuri ila heb tuwekee na bei tujue
  6. P

    Tambua Wizi mpya wa Vodacom Tanzania, Serikali iko kimya

    Jamani nyie bado mnatumia voda tumieni airtel voda watawaumiza.
  7. P

    Mhe. Januari Makamba ingilia kati wizi ulioanza leo Vodacom

    voda c mtandao kabisa ni genge la wezi
  8. P

    Nifanyaje ili mbwa wangu awe mkali!? Naomba ushauri

    Ukitaka awe mkali mnumulie ugoro halaf mwekee puani
  9. P

    Mgomo Ruaha Catholic University

    udini unatoka wapi kwan wewe ulipochagua hicho chuo hukujua ni cha wakatoliki ndo wenye chuo?
  10. P

    Mgomo Ruaha Catholic University

    Waache wagome chuo hakihusiki na fedha za bodi hao wanataka kufukuzwa chuo wakatoliki huwa hawatakiwi kugoma ukigoma kama ni mtoto wa mkulima jiandae kwenda kulima
  11. P

    Waliosap ualimu diploma kuajiriwa?

    ukiambiwa ukweli unasema unakatishwa tamaa. subir utaona mwenyewe unatakiwa ku clear kwanza hayo masomo. Mtihan wa supp utafanya na wale wanaomaliza mwaka huu
  12. P

    Hedhi ya mabonge

    ' Hapo kwanza kama hedhi yako ni ya damu nyeusi halaf ina mabongebonge hapo mimba imetoka pia kama unasikia maumivu makali chini ya kitovu, maeneo ya upande wa mbavu kushoto, pamoja na mgongoni wakati wa siku za hatari na siku za hedhi utakuwa na mchango. kama hizo dalili hazipo litakuwa...
  13. P

    Waliosap ualimu diploma kuajiriwa?

    Haiwezekani kuajiriwa ukiwa na sup hata ikitokea bahat ukapangiwa unaenda kurudishwa na halmashaur husika kwa kua huna sifa vyeti havijakamilika
  14. P

    Toka UDOM leo tupo UNIVERSITY OF BAGAMOYO MPAKA KIELEWEKE

    Ni kweli kabisa mleta maada ameandika tar si sahihi sijui alikuwa na haraka au wameingizwa mkenge kuwa na makubaliano yasiyo ya kweli maana hizo tar zimepita au hii habar ni ya mwaka jana c ya leo hebu urudi utupe taarifa kamili
  15. P

    Wadada kuchomekea gauni kwenye chupi !

    Weka picha tuone maana wengine hatujui hayo mavazi yalivyo
Back
Top Bottom