Recent content by Ponsian Samagwa

  1. P

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    ukiangalia kwa makini ni kweli utaona hivyo ukitumia macho yote mawili ila ukitumia moja hakitatokea chochote kwa nini?
  2. P

    Tuwekane sawa kuhusu oral interviews hapa.

    1. Elimu uliyo ipata haijakusaidia kwani imekunyima ujasiri na kujiamini kwa kile ulicho somea! 2. Kwenye panel si zaidi ya 5 mara nyingi . 3.Na vilevile kwenye panel kunaweza kuwa na mtaalam wa fani hyo 1 au 2 na wengine na wengine wakakuhoji mambo ya kijamii, kiutawala na mengineyo kukupima...
  3. P

    Ushauri please:housegal wangu ananitisha!!!

    Maswali ya kujiuliza. 1. ulimtoa kwao au uliletewa? 2. ndg ze walishawahi kukwambia anamapepo? 3. Latba yake hapo nyumabin kwako ipoje? je anauhuru wa kutosha au? 4. Latba ya wewe na mumeo ipoje? 5. Aliwahi kuolewa kabla/ anamchumba? 6.Alikuja kwako akiwa na ufahamu na kazi za ndani au? 7. Wewe...
  4. P

    Unlock Zantel Modem

    may b ume install driver mbili kwa wakati mmoja za modem mmoja em angalia kwenye installed prog.or go to My computer right click, Manage, and find modem driver if it is their,if yellow ? is shown in your modem driver Right click,update drivers. If does not work repair window every thing will be...
  5. P

    Muswada wa Sheria ya Mapitio ya Katiba: Download na pitia uone kilichomo na usambaze

    :crazy:Katiba hii emeegemea upande mmoja tu si kwa manufaa ya wananchi na umma kwa ujumla bali CHAMA na kwa mfumo huo Tanzania itaendela kulalama kuwa inchi maskini hadi kiama .
Back
Top Bottom