Recent content by pond ps

  1. P

    Uzi maalum:Kwa wanawake ambao tumewahi kuharibiwa future zetu na wanaume tukutane hapa tufarijiane

    Hiv kumbe kuna mwanaume mbaya? Subili malaika waje, hata nao wapo walioasi kwa muumba wao.
  2. P

    Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

    Kuondokana na changamoto za ndoa kama sio kuzipunguza, no wanandoa wenyewe kuamua jinsi ya kuishi. Na tendo la ndoa litolewe kikamilifu bila kupunjana. Mpe mwenzio kama vile hutampa tena na yeye mkeo hvyohvyo hizo changamoto zingine zitakua minor.
  3. P

    Ni halali mwanaume kuomba mwanamke achangie nauli pindi anapokuja kukutembelea

    Gonga tano mkuu. Wanawake wengi wapo kama watoto, hawajui baba kapata au kakosa. Kazi wanaume tunayo, tujipange haswa.
  4. P

    Ni halali mwanaume kuomba mwanamke achangie nauli pindi anapokuja kukutembelea

    Kama ndio mimi siji tena, bora nikakae msituni nitulize akili huenda kuna mapya nitapata.
  5. P

    Mama yangu mzazi analeta wanaume nyumbani

    Huyo mama naye anahisia kama binadama wengine. Sasa nyie mlitaka afanye nini? Mume kama alishakufa hpo hakuna kosa, na nyie mnavyomsema kila siku atakua na hofu ya kuolewa. Na hilo hamuwezi kulizuia na ndio kiapo cha ndoa kinavyosema, had kifo kitenganishe!
  6. P

    Kitambulisho cha Vladimir Putin akiwa jasusi wa KGB chapatikana Ujerumani.

    Had western wanamgwaya. Then watz walioshiba sembe wanapiga kelele tu. Hahaha Putin sio MTU wa sport sport. Western wenyewe wanakwambia Putin is more dangerous than Stalin or Klushchev. Hahahahaha mziki mnene..
  7. P

    Ni nadra sana kupata msichana mzuri halafu ana akili. Bro nisamehe nilikukosea sana

    Wenye chura ndio vimeo kuliko. Hapa JF watajimimina kujimwagia sifa, utasema hawa ndio material wenyewe. Weka ndani uone chamoto chake. Na ukimkuta mwanamke yupo ndani vzr , anapika vzr na shughuri zingine za home ujue sio mwaminifu kwa ndoa yake (huu mtazamo wangu Mimi, nao sio wote but wengi...
  8. P

    Marekani ikitengeneza makombora sisi pia tutatengeneza' aonya rais Putin

    Kama ni propaganda waambie US walianzishe, tuone mkweli nani.
  9. P

    Ushauri tafadhali; Nimewakuta house girl na house boy wananjunjana sitting room

    USHAURI WA NIN? AS KWAMBA NAWEWE ULIKUA UNATAKA KUBANGUA AU KUBANGULIWA KOROSHI?
  10. P

    Rais Putin ataweza kuibadilisha mawazo Uturuki na kuiondoa ndani ya NATO?

    WAMAREKANI WAMEICHAPA URUSI KWENYE GAZETI FRONT PAGE
  11. P

    Urusi kujenga mji mwezini ifikapo 2040

    How come wao wawasemee warusi? Ndio kusema warus hawana wasemaji?
  12. P

    Netanyahu akabiliwa na tuhuma za ufisadi

    ALIVYOINGIA KWA GIA KUBWA MIM NIKADHANI ATAMALIZIA TANZANIA, YEYE ANAMALIZIA HUKO AS IF ALIWAHI KUISHI HUKO WAKATI HAPA WATU WANALALA NJAA NA VIONGOZI WAPO KAZI KUTETEA PUMBA KILA SIKU KULINDA VITAMBI VYAO.
  13. P

    Urusi kujenga mji mwezini ifikapo 2040

    Niambie nchi iliyoendelea bila kupitia misingi ya kijamaa? Unataka kusema u NATO sio ujamaa? EU sio ujamaa? OPEC sio ujamaa? Au mimi ndio sielewi?
  14. P

    Petro Poroshenko, Rais wa Ukraine aanza kutetemeka

    Kwanini Russia akipigana Vita akishinda anatabia ya kuchukua Ardhi za mataifa mengine? Mfano visiwa vya Kuril vilivyokua chini ya taifa la Japan. Tuseme kuwa ni taratibu za vita? Kama ni taratibu, kwanin sisi hatukuichukua Uganda?
Back
Top Bottom