Kuondokana na changamoto za ndoa kama sio kuzipunguza, no wanandoa wenyewe kuamua jinsi ya kuishi. Na tendo la ndoa litolewe kikamilifu bila kupunjana. Mpe mwenzio kama vile hutampa tena na yeye mkeo hvyohvyo hizo changamoto zingine zitakua minor.
Huyo mama naye anahisia kama binadama wengine. Sasa nyie mlitaka afanye nini?
Mume kama alishakufa hpo hakuna kosa, na nyie mnavyomsema kila siku atakua na hofu ya kuolewa. Na hilo hamuwezi kulizuia na ndio kiapo cha ndoa kinavyosema, had kifo kitenganishe!
Had western wanamgwaya.
Then watz walioshiba sembe wanapiga kelele tu. Hahaha Putin sio MTU wa sport sport. Western wenyewe wanakwambia Putin is more dangerous than Stalin or Klushchev.
Hahahahaha mziki mnene..
Wenye chura ndio vimeo kuliko. Hapa JF watajimimina kujimwagia sifa, utasema hawa ndio material wenyewe. Weka ndani uone chamoto chake.
Na ukimkuta mwanamke yupo ndani vzr , anapika vzr na shughuri zingine za home ujue sio mwaminifu kwa ndoa yake (huu mtazamo wangu Mimi, nao sio wote but wengi...
ALIVYOINGIA KWA GIA KUBWA MIM NIKADHANI ATAMALIZIA TANZANIA, YEYE ANAMALIZIA HUKO AS IF ALIWAHI KUISHI HUKO WAKATI HAPA WATU WANALALA NJAA NA VIONGOZI WAPO KAZI KUTETEA PUMBA KILA SIKU KULINDA VITAMBI VYAO.
Kwanini Russia akipigana Vita akishinda anatabia ya kuchukua Ardhi za mataifa mengine? Mfano visiwa vya Kuril vilivyokua chini ya taifa la Japan.
Tuseme kuwa ni taratibu za vita? Kama ni taratibu, kwanin sisi hatukuichukua Uganda?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.