S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,594
- 32,686
Mungu aepushie mbali tuendelee kunywakunywa visafari na vibalimiYaani NATO aende mpakani mwa Ukraine kumzuia Urusi asilinde Uhuru na usalama wake, hawajitakiamini nakwambia hakuna nchi yoyote anayoweza kuivamia Urusi ulaya mashariki anapoona Kuna kitisho kwa usalama wake Marekani au NATO watajaribu kuingiza jeshi, never na wakiingiza ndo mwisho wa dunia umefika....