Recent content by Pombe haramu

  1. Pombe haramu

    Bado tunamshikilia Zitto Kabwe - Kamanda Matei

    I wish I could be IGP- Magufuli
  2. Pombe haramu

    Tukiwa na ushirika na madikteta...

    Najaribu kujiuliza haya matukio ya kutisha yanayokea nchini yameigwa kutoka nchi gani. Nikiangalia nchi mbalimbali zinazotuzunguka, naziona nchi tatu zina madikteta. Nazo ni DRC, Rwanda, na Uganda. Katika nchi ya Rwanda matukio ya watu kuuwawa, kutekwa, na kubambikia kesi yameshamiri. Na tangu...
  3. Pombe haramu

    Ni nani ashtakiwe the Hague?

    Ni suala linalosikitisha sana katika serikali ya awamu ya tano kumekuwa na matukio ya kutisha na unyanyasaji dhidi ya haki za raia. Nchi yetu kwa mara ya kwanza tangu uhuru inashuhudia mapito na majaribu mabaya ya raia kutekwa na kuteswa pamoja na kuuwawa na watu wasiojulikana, raia kukutwa...
  4. Pombe haramu

    Maoni ya watu maarufu mbalimbali kuhusu kifo cha mwanafunzi wa NIT katika maandamano ya CHADEMA

    Duh huyu mrembo kakosa nini , wanawaacha wavuta bangi wenye urembo wa kununua, hakika wanaume tumepata pigo...
  5. Pombe haramu

    CCM yaitaka Polisi imhoji Freeman Mbowe na viongozi wenzake wa CHADEMA walioshiriki maandamano yasiyo halali

    Mwenye basi atalazimishwa aseme alikodiwa na vijana wa chadema...swiswiem ni zaidi ya kinyeo (shithole) kwa sauti ya Trump
  6. Pombe haramu

    Nawapongeza sana ITV kwa hili, lakini nina wasiwasi sana kama wataachwa salama

    Duh hivi kuna vituo vya tv bongo. Nilishaacha long time kufuatilia hizi TV tangu walipoacha kurusha bunge live lakini wanamrusha pogba laiv
  7. Pombe haramu

    Kwaheri Tanzania, nahamia Zambia kodi katika biashara imeniondoa nchini

    Nchi ya ovyo hii nimefungua kagrocery kabla sijaanza hata kuuza maji natakiwa kulipa kodi...sijui tutafikaje na huu upupu
  8. Pombe haramu

    Mbowe ni mwenyekiti bora kwa sasa Tanzania

    Chadema ni mbowe, yaan ccm wanamgwaya mbowe balaa. Akiteteleka tu upinzani unakifa TZ...mwanzoni nilidhani upinzani ni Dr Slaa na Prof Lipumba kumbe elimu na sumu ya uongozi...cc: BARAZA la maprofesa na madokta la jpm
  9. Pombe haramu

    Makonda anaposigina taratibu, sheria, je, aachwe tu?

    Hivi ile kesi yake ya forgery imeishia wapi
  10. Pombe haramu

    Hussein Bashe alaani shambulio la Lissu, asema TISS itazamwe upya

    I doubt tiss have incompetent staff, poor technology, and lack of loyalty
  11. Pombe haramu

    Waliooa wanawake darasa la 7 na kidato cha 4 wanafurahia ndoa zao kuliko waliooa wasomi

    Nimeishi na mademu wa elimu zote, la saba, four, six, diploma, digrii, master except PhD. But la saba ni best, muelewa, haoti mapembe, full amani, nikiondoka anabaki na watoto, nikirudi namkuta. Hiyo ndo ndoa. Wakati Adam anafukuzwa eden aliambiwa kazi yake ni kutafuta kwa jasho na mke ni kuzaa...
Back
Top Bottom