Najaribu kujiuliza haya matukio ya kutisha yanayokea nchini yameigwa kutoka nchi gani. Nikiangalia nchi mbalimbali zinazotuzunguka, naziona nchi tatu zina madikteta. Nazo ni DRC, Rwanda, na Uganda. Katika nchi ya Rwanda matukio ya watu kuuwawa, kutekwa, na kubambikia kesi yameshamiri. Na tangu...