Pombe haramu
Senior Member
- Dec 19, 2017
- 151
- 238
Ni suala linalosikitisha sana katika serikali ya awamu ya tano kumekuwa na matukio ya kutisha na unyanyasaji dhidi ya haki za raia. Nchi yetu kwa mara ya kwanza tangu uhuru inashuhudia mapito na majaribu mabaya ya raia kutekwa na kuteswa pamoja na kuuwawa na watu wasiojulikana, raia kukutwa wakielea katika fukwe za bahari, viongozi wa kisiasa kushambuliwa kwa risasi. Kwa uasi huu dhidi ya raia, ni nani ashtakiwe the Hague!!