Recent content by polytrix

  1. P

    Msaada: Nimekosa hedhi yangu

    tafuta shubiri fresh kunywa hii huharakisha na kurudisha cku kwe ratiba ya kawaida.trust me
  2. P

    CHADEMA ni kundi La Nzige

    kuzichapa haina maana tu ya kupigana ngumi.kuna namna nyingi za kuzichapa.kwa kauli yako unataka kusema cdm na ukawa wakushinda watavuruga vp amani mi nnadhani ccm wakishindwa ndo watavuruga amani?.huwezi kuilinda qmani huku watu wakiwa na manung'uniko ya wizi wa kila siku wa rasilimali zao,ipo...
  3. P

    CHADEMA ni kundi La Nzige

    hebu wadau turudi nyuma tuache kuingea kwa ushabiki,mazoea ,kejeli na jazba tujiulize hivi chadema au chama chochote tofauti na ccm hakina uwezo wa kuongoza nchi tena kwa ufanisi?
  4. P

    CHADEMA ni kundi La Nzige

    aiseeee hiyo kali zizi la kitimoto.haya mkuu
  5. P

    Hivi kuvaa mlegezo ni fasheni au ni uchizi?

    si kwamba wavulana wavaa mioegezo wanatangaza biashara furani ama ni wavuta bangi wengi ni waathirika wa mkumbo wa kufuata upepo na utunwa wa mitindo toka nje.kwa kifupi ni mateja wa fashion
  6. P

    CHADEMA ni kundi La Nzige

    labda kk alimuiba alokuleta duniani
  7. P

    Kumbe Dr Asha Rose Migiro ni chaguo la Kikwete!

    hana nguvu ya kumsimamia mtu huyo
  8. P

    Mitambo ya Nyuklia ya Irani Kubomolewa ndani ya Masaa Machache

    israeli nipigieni hawa ili tuone ndevu na vipedo vya kiume vinavoandamana huku bongo
  9. P

    Picha ya Tukio la kutisha: Amfumania mke wake, amchinja mtoto!

    kuua yyte wakati wa fumanizi ni kusema kuwa akili yako na maisha yako ni madogo na hayana thamani zaidi ya k.ya mkeo. ni ujinga k haipaswi kuwa kubwa zaidi ya thamani ya maisha yako.ni ujinga ni utoto ni unyama ni udhaifu wa mwisho kabisa duniani.
  10. P

    Natafuta Nyimbo za zamani za Taarab

    kuna.wimbo ulikuwa unaitwa aasuu.cjui aliimba.nani ila ndo wimbo pekee wa taarabu nimewahi kuupenda
  11. P

    Zitto azomewa Bukoba

    Yeye angekuwa anajikita kukielezea chama cha mfukoni kwake kulikobkutafuta kiki kwa kuiponda cdm hapo ndo watu wanaamini kuwa jamaa lengo lake ni kuiua CHADEMA na si kujenga demokrasi
  12. P

    Wapinzani wa Lowassa wahaha na kutumia 4U fake kumchafua

    hamna lolote mnatafuta kiki tu ili jamaa aonekane man to watch
  13. P

    Dr. Slaa uso kwa uso na Zitto kwenye Mdahalo tarehe 18 June!

    zitto mchache sana kwa slaa.nadhani mmemsahau na hili ltafanya mumrudishe kwe kumbukumbu sahihi
Back
Top Bottom