Watamkamata tena kwa kuchochea Uzomeaji. Dah ila hii kali yaani sipati Picha pale Mecky Sadiq atakapoamuru UDSM Ifungwe kisa ameenda Nkurumah halafu watu wakamzomea
Kukamatwa kwa Mbunge wa Arusha Mkjini Mh. Gobbless Lema "Kwa Amri ya Mkuu wa Mkoa" kumesababishwa na sababu kuu mbili
1. Makundi ndani ya CCM
2. Kukataa kwa Lema kuwapigia Magoti watawala waliolewa Ugimbi
Nitazungumzia suala la kwanza.
Baada ya Uchanguzi Mkuu wa 2010 kuna Majimbo ambayo...
Kukamatwa kwa Mbunge wa Arusha Mkjini Mh. Gobbless Lema "Kwa Amri ya Mkuu wa Mkoa" kumesababishwa na sababu kuu mbili
1. Makundi ndani ya CCM
2. Kukataa kwa Lema kuwapigia Magoti watawala waliolewa Ugimbi
Nitazungumzia suala la kwanza.
Baada ya Uchanguzi Mkuu wa 2010 kuna Majimbo ambayo...
Wadau wa Jukwaa hili nimeona si mbaya nikafungua huu uzi ili kwa wale wataalamu wa Mambo ya Mawasiliano Pepe (Telecommunications ) tuweze kushare Ujuzi na Maexperice tuliyo nayo ili Madogo waje Kuchota Ujuzi. Naandaa somo kuhusu Mambo yafutayo
1. What is Communications
2. Types of...
Mkuu pono
MPEG 2 au MPEG 4 ni njia tu za Ku Compress information ili ziweze kupita kwa wingi katika Chanel finyu. MPEG 4 ni Improvement ya MPEG 2. Mkuu Kama unataka kununua king'amuzi nunua cha
1. DVB-T2 MPGE 4
Cause Ukiwa na MPEG 4 Unaweza kuona Matangazo yaliyofinyangwa ki MPEG2 and not...
Ni Kweli Kabisa. Before Rostam alikuwa anamiliki 19% Peter Noni alikuwa anamiliki 16% sasa Rostam na Peter Noni wakauza Hisa Zao zote kwa Caspian Construction Co. LTD (Ambaye mnamjua mmiliki wake)
Mkuu Rubi
Kwa Mujibu wa Maelezo kutoka kwa TCRA kupitia vipindi vyao vya Redio na Televisheni ni kwamba Mabadiliko haya hayahusu watumiaji wa Madishi. Kwa hiyo kama unatumia dish Mkuu tar 31/12/2012 lala usingizi wako Mnono kabisa wala huhitaji kufanya Mabadiliko yeyote
Ila kwa wele wanaopata...
Naona watu wanatoa Majibu yasiyoeleweka kwa Maswali ya Msingi
Mkuu @Supervisor
Nimejaribu kulijibu Swali lako katika huu Uzi unaweza pitia na kujifunza Mambo mengi zaidi
GONGA HAPA
Utatambuaje kwamba TV yako ni ya Dijitali? Au labda niweke hivi, Je kuna Umuhimu wa Mtu sasa kukimbilia TV ya Dijitali kuliko Kin'gamuzi
Naomba kwanza Nianze hivi
1. Fact 1 : - Flat Screen nyingi zilizoko Madukani be it Samsung Smart TV, Sony Bravia na Blah blah ni analogue kwa maana ya...
Watu wafupi huwa tunaweka Bidii Darasani ili kuficha Udhaifu wetu. Ni watu ambao tuna struggle kupata Pesa Mingi na huwa tunaopoa Mizigo ya Maana sana.
Zimebaki Siku 39 tisa tu kwa wale wanautumia Antena za CHADEAM, Mwiba wa Samaki, na Tubelight kuendelea kuona Matangazo ya Television hapa Tanzania. 01/01/2013 Kama hamtakuwa mmejitwalia Ving'amuzi basi Hamtaweza kuona Matangazo ya Televisheni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.