Dua la kuku nani kakwamibia Wananchi hawampendi huyo Mwenyekiti wa CCM? Je, unafikiri nafasi yake ni uteuzi hivyo atenguliwe kama mteule?
Narudia tena wewe una chuki binafsi na maslahi yako binafsi yameminywa na wachapa kazi #KaziIendelee
Ndugu andiko lako hata kama lina ukweli basi limeambatana na chuki.
Sheria ni msumeno kwa nini useme mipaka itambuliwe lakini kwenye mashamba asiguse? Hapo ndipo penye chuki.
Kumbuka hawa ma DC wanafanya kazi chini ya timu za wataalamu tena waliobobea katika utatuzi wa migogoro ya Ardhi.
Muhimu...
Hakika ukishangaa ya Mussa utayaona ya Firauni! Wahenga walinena! Na Mimi pia narejerea usemi usemao "Usiache Mbachao kwa Msala Upitao" Ama kwa hakika alichokifanya mwendesha shughuli Adam Mchomvu pale Uwanja wa Uhuru kwa kumramba teke watoto wa mjini wanasema"Mtama" mwanamuziki Mbasha siku ya...
Kifo cha kusikitisha! aliwekewa goti shingoni kwa takribani dakika 8 na sekunde kadhaa. Akakata roho huku akilalamika hawezi kupumua!
Je, wanaharakati wa Tanzania wa kutetea haki za binadamu na ambao siku zote hutumia Nchi ya Marekani kama kigezo cha haki za binadamu wana Cha kuieleza Dunia?
Baada ya kuulizwa swali ni kwanini Uingereza imesimamisha kutoa Data kwa mlinganisho na Nchi nyingine Kimataifa, Waziri Mkuu katoa msimamo wa Uingereza kama Taifa.
Wale wazee wa kulilia Data za Tanzania zitoke kama mashindano mpoooo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.