Hahaaa jana ilikua aibu kubwa....wakiamua kumalizia hasira zao ngome ya chadema.Tena kikao cha jana cha CCM mlikua na mkakati wa kywamwagia vijana wenu tomato kisha kuwanyoa nywele na kuwafunga bandeji ili msingizie wamepigwa na chadema.Ni hivi akibainika au kukamatwa mtu yeyote anayedanganya...
@ Njano 5:umetoa hoja kistadi sana ila hujaenda streight katika msingi wa hoja.U ar beating around the bush.Unless kwa mtizamo wangu unataka kutuambia Kitila anampango w kuhamia chama kingine na anatafuta njia za kujipamba ili asionekane mchafu anakokwenda maana tayari ameanza kuona harufu...
Hahaaa!!!!!!kumbe hata huelewi vizuri maana ya gender!!!!Na bila shaka wewe ni mgeni sana katika siasa za mabadiliko.1.Tambua mpiga kura mzuri katika hii nchi ni.mwanamke maana anapiga kura kwa moyo na ndio wanaofanya chadema izidi kushine, 2.Pili tambua,wanawake wamebadilika hawadanganywi tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.