Mheshimiwa Polepole
Nakuomba Sana tembelea mtaa Wa KING'ONGO Njia panda ya GOB Kimara kwa mwenyekiti aitwae Tatu Pambe.
Mama huyu mara tu ya kuchaguliwa na kuwa mwenyekiti wa mtaa amekuwa mwiba na maumivu makali kwa wananchi wake.
Mfano, amekuwa ni mtu asiyesikiliza ushauri wowote wa mtu...
Ni kweli anaweza akawa anachoka Kama binadamu Ila unaweza pia Anza kusoma Novels usiku hasa za biashara au za hadithi nzuri usingizi ukakupitia Au kwa pamoja mnunue karata za kucheza Kama last card ili kujikeep busy au Kama mnapoishi Kuna kauwanja au nafasi Mnatoka usiku mnakimbizana kimbizana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.